Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Mkuu kweli elimu yako imekusaidia sana

Tangazo lako ndio bora kuliko yote niliyowahi kuyaona hapa[emoji23][emoji23][emoji23],,akili nyingii
Kwamba amewashinda wengi umeona mbali sanaa ha ha aaa
 
Yes na hauwez kulenga ndege mia tano ukamkosa kujeruhi hata mmoja..

Ukilenga wachache ndio huwez pata.. Yaani miaka miwili wanawake 35.

We sio mtongozaji kabisa mamamame...
Wakati iyo ilitakiwa iwe idadi ya wanawake ambao uliwaingilia kinyume na maumbile...

Makadirio ya chini kwa bachelor unatakiwa utongoze wanawake 14 per week.. Wakukubali 10, upige 7, uwakatae 3 kwa ajili ya kujijengea credit we mwenyewe.

Sasa we hesabu zako ziko chini kabisa.. Speed yako ya kutongoza ni ndogo saana kama vile unatembea na mkeo mitaani
Hahahaha,dah mabaharia
 
Mimi natamani ningekuwa wewe , yaani kila binti nimtongozae na marafiki wa kike hakatai mtu . Naogopa hata kuwa na marafiki wa kike . NATAMANI NINGEKUWA KAMA WEWE
Nipe mbinu mkuu
 
Labda una Matonsis (Tonsils) ambazo zinaweka uchafu kwenye vifuko vyake kiasi kwamba unatoa harufu mbaya kinywani!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Mimi sio handsome boy nawala sio smart kivile nawala sio muongaji ila mashallah nawala japo sio sana maana siwatongozi sanaaa
 
Back
Top Bottom