Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Daaa, Mimi mwenzako nikitongoza nawapata lakin tunashindwana kwenye ela mbaka naona nina mikosi Naombwa ela sijajua tatizo likowapi
Ndio wanawake wasikuiz saiv mm najilia ma bar maid tu nikitoa ugwadu kwa mwez mara mbili natulia zang wanawake wa sikuizi wanapenda sana pesa. Mfano huyo ni dem ambaye tulianza mazoea kidogo tu ila duh! Nkaona hapa nitamnunulia leo chipsi kesho mizinga kama kawa.
Screenshot_20190818-145927.jpeg
 
Itakua huwa unawahi kukata tamaa sana ila fanya hv akigoma komaa nae, msome anapenda nn huyo dem mfanyie kama anapenda kujengewa nyumba basi mjengee uone kama atakataa.
Hahahah,nyumba tena!
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu,ila hayo yote nimeyafanya na nilikua bench karibia mwaka mzima na nikazoeana wasichana wengi sana ila nilipo anza tu mtongozo,NO zikaanza
duh. kila mtu na silaha yake bana mi silaha yangu ucheshi, masihara mengi.
 
Ma bar maid matatizo mkuu
Ndio wanawake wasikuiz saiv mm najilia ma bar maid tu nikitoa ugwadu kwa mwez mara mbili natulia zang wanawake wa sikuizi wanapenda sana pesa. Mfano huyo ni dem ambaye tulianza mazoea kidogo tu ila duh! Nkaona hapa nitamnunulia leo chipsi kesho mizinga kama kawa.View attachment 1185172
 
Huwa wanaogopa perepeche kama hizi...

Umekataliwa tu unatangaza... Je ukivuliwa chupi si utapiga parapanda dunia nzima...

Mwanamke anapenda usiri ili awe huru na mambo yake mengine.

Mwanamke ahitaji pesa direct ukiwa unatongoza.. Ila anataka ishara au dalili kuwa ukiwa nae atakula maisha...

Mwanamke hatongozwi uchochoroni.. Kwa rika lako ni appointment na rendezvous ya uhakika.. Mixer vizawad zawad.. Mamisos.. Sana tu.

Mwanamke anapatikana kwa mbinu na ufundi wa kuteka hisia zake na sio sound pekee yake...
Uongo lazima uwe mwingi.. Promise za kutosha ikiwezekana anza kutengenza urafiki nao ili upate uhuru wa kuuonesha upendo wako.


Kingine kasi yako ni ndogo...
Yaaani miaka miwili wanawake 35 tu.. Huu ni upuuzi.. Na lazima ukataliwe..

Ina maana kwa mwezi mwanamke mmoja tu ndio unakutana nae mkali..
Huyu atakuwa mkali haswa na utakataliwa saaana.

Real man... Mara nyingi kila wik unatakiwa utongoze zaid ya mara 7 ulitakiwa now uwe kwenye wanawake 500 huko.

Unadhan woote wangekukataa hao.

Cha mwisho na cha msingi.
Pay attention kwa vitu muhimu.
Lengo la kutongoza kama linaweza kutatulika kwa njia ingine ni vyema ukaitumia...

Example.. Kama unatafuta papuchi si ukanunue tu tandika.


Mi nipo sina mwomekano sina pesa sina nin...
Ila nawabutua kama kawa.. Ni perepeche na uongo mwiingi...
Kujituma kwa saaana...
Mwisho wa siku unapewa mzigo chap
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
 
Nafail kutongoza kivipi,kwani kutongoza si kumuelezea mtu hisia zake au nyie mnafanyaje?mnachomoaga betri au
Unafeli kutongoza, unafeli sana... uwe na pesa usiwe na pesa kutongoza ni jambo jepesi mno, tena siku hizi hata wik mtu hamalizi mtoto anakua keshaelewa
 
Huwa wanaogopa perepeche kama hizi...

Umekataliwa tu unatangaza... Je ukivuliwa chupi si utapiga parapanda dunia nzima...

Mwanamke anapenda usiri ili awe huru na mambo yake mengine.

Mwanamke ahitaji pesa direct ukiwa unatongoza.. Ila anataka ishara au dalili kuwa ukiwa nae atakula maisha...

Mwanamke hatongozwi uchochoroni.. Kwa rika lako ni appointment na rendezvous ya uhakika.. Mixer vizawad zawad.. Mamisos.. Sana tu.

Mwanamke anapatikana kwa mbinu na ufundi wa kuteka hisia zake na sio sound pekee yake...
Uongo lazima uwe mwingi.. Promise za kutosha ikiwezekana anza kutengenza urafiki nao ili upate uhuru wa kuuonesha upendo wako.


Kingine kasi yako ni ndogo...
Yaaani miaka miwili wanawake 35 tu.. Huu ni upuuzi.. Na lazima ukataliwe..

Ina maana kwa mwezi mwanamke mmoja tu ndio unakutana nae mkali..
Huyu atakuwa mkali haswa na utakataliwa saaana.

Real man... Mara nyingi kila wik unatakiwa utongoze zaid ya mara 7 ulitakiwa now uwe kwenye wanawake 500 huko.

Unadhan woote wangekukataa hao.

Cha mwisho na cha msingi.
Pay attention kwa vitu muhimu.
Lengo la kutongoza kama linaweza kutatulika kwa njia ingine ni vyema ukaitumia...

Example.. Kama unatafuta papuchi si ukanunue tu tandika.


Mi nipo sina mwomekano sina pesa sina nin...
Ila nawabutua kama kawa.. Ni perepeche na uongo mwiingi...
Kujituma kwa saaana...
Mwisho wa siku unapewa mzigo chap
Nimepost ili nipate msaada,ila nitajaribu hiyo 1 per day wakifika 500 wote kapa nitafanya kitu
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi

Una bahati sana. Mshukuru Mungu maana umeepushiwa mengi.
 
Unafeli kutongoza, unafeli sana... uwe na pesa usiwe na pesa kutongoza ni jambo jepesi mno, tena siku hizi hata wik mtu hamalizi mtoto anakua keshaelewa
Wewe unatongozaje
 
Back
Top Bottom