Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Naunga mkono hoja
Huwa wanaogopa perepeche kama hizi...
Umekataliwa tu unatangaza... Je ukivuliwa chupi si utapiga parapanda dunia nzima...
Mwanamke anapenda usiri ili awe huru na mambo yake mengine.
Mwanamke ahitaji pesa direct ukiwa unatongoza.. Ila anataka ishara au dalili kuwa ukiwa nae atakula maisha...
Mwanamke hatongozwi uchochoroni.. Kwa rika lako ni appointment na rendezvous ya uhakika.. Mixer vizawad zawad.. Mamisos.. Sana tu.
Mwanamke anapatikana kwa mbinu na ufundi wa kuteka hisia zake na sio sound pekee yake...
Uongo lazima uwe mwingi.. Promise za kutosha ikiwezekana anza kutengenza urafiki nao ili upate uhuru wa kuuonesha upendo wako.
Kingine kasi yako ni ndogo...
Yaaani miaka miwili wanawake 35 tu.. Huu ni upuuzi.. Na lazima ukataliwe..
Ina maana kwa mwezi mwanamke mmoja tu ndio unakutana nae mkali..
Huyu atakuwa mkali haswa na utakataliwa saaana.
Real man... Mara nyingi kila wik unatakiwa utongoze zaid ya mara 7 ulitakiwa now uwe kwenye wanawake 500 huko.
Unadhan woote wangekukataa hao.
Cha mwisho na cha msingi.
Pay attention kwa vitu muhimu.
Lengo la kutongoza kama linaweza kutatulika kwa njia ingine ni vyema ukaitumia...
Example.. Kama unatafuta papuchi si ukanunue tu tandika.
Mi nipo sina mwomekano sina pesa sina nin...
Ila nawabutua kama kawa.. Ni perepeche na uongo mwiingi...
Kujituma kwa saaana...
Mwisho wa siku unapewa mzigo chap
 
Hongera sana, naona mizimu yenu inakulinda na mikosi na maradhi. Ebu fikiria hao 35, ulikwisha kutongoza wote wangekuwa wamekukubalia, unadhani ungekuwa hai, salama? Tayari unaye mwanamke (jini mahabati) anayefanya yote yawe hivyo. Ukiona uendelee na tamaa basi: kaoge maji ya mdarasini na pilipili manga; nitafute kwa maelezo ya kina.
 
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Weka picha tuone ndg usije ukawa umebeba mguu wa mtoto huko kunako .
 
Yes na hauwez kulenga ndege mia tano ukamkosa kujeruhi hata mmoja..

Ukilenga wachache ndio huwez pata.. Yaani miaka miwili wanawake 35.

We sio mtongozaji kabisa mamamame...
Wakati iyo ilitakiwa iwe idadi ya wanawake ambao uliwaingilia kinyume na maumbile...

Makadirio ya chini kwa bachelor unatakiwa utongoze wanawake 14 per week.. Wakukubali 10, upige 7, uwakatae 3 kwa ajili ya kujijengea credit we mwenyewe.

Sasa we hesabu zako ziko chini kabisa.. Speed yako ya kutongoza ni ndogo saana kama vile unatembea na mkeo mitaani
Nimepost ili nipate msaada,ila nitajaribu hiyo 1 per day wakifika 500 wote kapa nitafanya kitu
 
Hongera sana, naona mizimu yenu inakulinda na mikosi na maradhi. Ebu fikiria hao 35, ulikwisha kutongoza wote wangekuwa wamekukubalia, unadhani ungekuwa hai, salama? Tayari unaye mwanamke (jini mahabati) anayefanya yote yawe hivyo. Ukiona uendelee na tamaa basi: kaoge maji ya mdarasini na pilipili manga; nitafute kwa maelezo ya kina.
Duuh,
 
Mimi natamani ningekuwa wewe , yaani kila binti nimtongozae na marafiki wa kike hakatai mtu . Naogopa hata kuwa na marafiki wa kike . NATAMANI NINGEKUWA KAMA WEWE
 
Back
Top Bottom