Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi

Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Una nuksi kijana
 
Usikurupuke,mzoee binti,mwoneshe heshima kuwa unamheshimu,unamjali.

Mkaribishe kwako,mpikie hata kama ni chai.Usiwe na pupa ya papuchi akija,pigeni story akiaga mpe 500 ya nauli aende.

Next time atakuuliza upo wp?atakuja utamwomba umshike bega ataupeleka mkono wako kwny matiti mwenyew then then then theeeeen!
Mkuu unabalaa,ila nishajaribu fanya haya geto bila papara yoyote ila sikuambulia kitu
 
Eeh nisubiri nini... Naona neno digrii pale sasa kisa ana digrii ndio watu wamkubalie???? Mi nataka ambae hajamaliza la saba kabisaaaaaaa
Ukiwa na degree ndo unakubalika kirahisi kwani
 
Napangilia vizuri tu na vinaeleweka,mwingine anaweza sema ntakujibu badae nikimcheki ndo pale atakaposema haiwezekani
Itakua huwa unawahi kukata tamaa sana ila fanya hv akigoma komaa nae, msome anapenda nn huyo dem mfanyie kama anapenda kujengewa nyumba basi mjengee uone kama atakataa.
 
Back
Top Bottom