Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Mkuu kweli elimu yako imekusaidia sana

Tangazo lako ndio bora kuliko yote niliyowahi kuyaona hapa[emoji23][emoji23][emoji23],,akili nyingii
Kwamba amewashinda wengi umeona mbali sanaa ha ha aaa
 
Hahahaha,dah mabaharia
 
Mimi natamani ningekuwa wewe , yaani kila binti nimtongozae na marafiki wa kike hakatai mtu . Naogopa hata kuwa na marafiki wa kike . NATAMANI NINGEKUWA KAMA WEWE
Nipe mbinu mkuu
 
Labda una Matonsis (Tonsils) ambazo zinaweka uchafu kwenye vifuko vyake kiasi kwamba unatoa harufu mbaya kinywani!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Mimi sio handsome boy nawala sio smart kivile nawala sio muongaji ila mashallah nawala japo sio sana maana siwatongozi sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…