Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Yah fanyia kaz huu ushauri mkuu
 
Yani kama huna sifa zinazokera (mijisifa, kuongea kwakupitiliza, kulopoka lopoka, n.k) basi kitaani kwako ushapigwa kinyamkera
 
Nme sikitika sana Kweli una maisha magumu Wale buku mbili 2 vp.. uwa hawakatai jarbu ao..naisi ndo level zako
 
Daaa, Mimi mwenzako nikitongoza nawapata lakin tunashindwana kwenye ela mbaka naona nina mikosi Naombwa ela sijajua tatizo likowapi
 
Hafungui kwani anaogopa hata kukujibu swali lako la kwanza. Ni dalili za "domo zege". Atakununulia soda baasi hadi unywe soda 6 bado hata jina lako hajakuuliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, Strength Weaknesess,Opportunities na Threats nishazitathimini na kuona hamna jambo lolote la ujuaji na kujiona zaidi ya kua normal kama viumbe wengine,,nadhani kuna something extra
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu,ila hayo yote nimeyafanya na nilikua bench karibia mwaka mzima na nikazoeana wasichana wengi sana ila nilipo anza tu mtongozo,NO zikaanza
 
Kwani unahisi mapenzi ni sura bro?ebu zinduka ndotoni bwana.Kwanza kupenda au kupendwa sio lazima wewe tafuta pesa tu.
Sio sura bro,ila katika hao 35 kuna wengine wangevutiwa hata na kimoja wapo ila hakuna
 
Hafungui kwani anaogopa hata kukujibu swali lako la kwanza. Ni dalili za "domo zege". Atakununulia soda baasi hadi unywe soda 6 bado hata jina lako hajakuuliza
Daaah,mm sipo hivyo mkuu na sijasema mm domo zege.Domo zege unamjua kweli?unawezaje tongoza mademu zaidi ya 35 tena kwa confidence yote afu uwe domo zege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…