Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema hapana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Ndio nakusubiri mudaa
Na vyeti vya ujinga anavyo amefaulu vizuri.Kwanini unaulilia ukimwi na magonjwa ya zinaa?
Huko jalalani ulienda kusomea ujinga?
Hakika wewe ni Certified fool
Poa poaNitakuja siku nyingine kwa sasa nipo mkoani kidogo
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23]. Itakuwa kaelekea kibla mwenyewe
Wenzako wakifaniwa utakuja hapa kulalamika..[emoji41][emoji41]Sio fursa mkuu
Kwani sijui???Ungesema hapana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Yaani umemfanya Relief Mirzska ajidai anajua kutabiri.
Ushauri Konki. Wanawake siku hizi hawatongozwi, ye ujasiri kapata wapi wa kutongoza.mkuu achana na mambo ya mapenzi jikite kwenye kilimo.
[emoji23][emoji23]Wanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.
Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasemaga ni "gundu" dawa yake ni kuoga na magadi au maji ya bahari.
Nakuja pm kuona picha kwanza mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naona kama kuna kaupendo kati yenu kinachipuka, huyo ni soul mate wako.Kwamba inawezekana ubavu wake ulitolewa ndiyo nikaumbwa Mimi siyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani ukikataliwa unasema ooh! Asante Mungu kwa kuniepusha na hiki kikombe.Ningepata bahati km yako ningefurahi sana maana wadada wanavyo nisumbua hadi kero
Cute b, cute b, katika wanawake wa JF, wewe Nakuzimia 100%Ungesema hapana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Yaani umemfanya Relief Mirzska ajidai anajua kutabiri.
Wakuu nipo katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu,,ipo hivi
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Bachelor degree toka jalalani.Toka naanza elimu yangu ya kidato cha 5 mpaka sasa ninapitia wakati mgumu sana sana ambao sidhani kama wenzangu mnapitia. Msichana yeyote nitakaye mtongoza basi lazima anikatalie hata awe wa kawaida.Kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita nimetongoza zaidi ya wasichana 35 na wote wamenikatalia na ikitokea mmoja ameonesha nia basi kwenye kufanya mapenzi atakua mkali na kusema hana hisia na mwishowe habari inaishia hapo. Hadi jana nimetongoza na jibu limekua lile lile NO NO NO. Nimejaribu mbinu zote hadi za pesa lakini wapi hada pale jalalani penye maua mengi na shida nyingi kwa hayo maua ya kifedha lakini imeshindikana. Sina tatizo lolote kimuonekano hilo nawahakikishia na kama mtu anahitaji kufahamu hilo anichek pm.Naombeni msaada wenu wana j.f wote kwa ujumla kama kuna mtu kapitia hili janga na alilimaliza vipi maana sasa naona hali imekua mbaya zaidi
Itakuwa ubavu wako ulitolewa ukapikwa supu na Nuhu.
Mkuu hauko seriousCute b, cute b, katika wanawake wa JF, wewe Nakuzimia 100%