Huyo ni mfanyabiashara na mpk anafikia hatua ya kukueleza hayo tayari kashakuona wewe ni MTEJAHivi wanawake/mabinti wa kisasa unaweza watofautisha au kuwatenganisha na umalaya kwa mienendo yao?
Zingatia uhalisia usianze kutumia hisia kunijibu.
Mfano ni hai na ipo mingi, wanawake wanaweka wazi bila hela mwanaume hautakuwa na guarantee ya kuwa nae wewe pekee yako, meaning yupo available kwa wanaume watakaompatia pesa kukuzidi dau lako kama mwanaume wake.
Kuna maneno mwanamke akiongea unajua tayari kuwa yupo stage gani ya Maisha.The bad thing ni kua inawezekana toka ulipo na miaka 19 unagongwa na wanaume hovyo hovyo,unadhani ni easy huyo mwanaume unayesema wa level yako kuoa mwanamke used?,
Ila kama toka una miaka 19 haugongwi,yes upo sahihi,ndoa haina maana kwako
Kabisa. Nenda hapo mtandaoni google haya maneno "7 deadly sins" tafuta inayoitwa Vanity (also Pride or hubris )halafu soma maelezo yake kisha tazama namna wanawake wanatumia mitandao ya kijamii kama Instagram, TikTok, Facebook, X, only fans, etc.Unaweza kuthibitisha hii kauli yako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ya sasa kuna wajinga ambao wanaamini ujinga wao ni knowledge mpya wakati jamii imeshatoka huko na yote wanayofanya ni marudio ya ujinga ule ule ambao uliangamiza jamii nyakati hizo na sasa wanarudia sababu wamechagua kuwa wajinga.Kuna Acc moja insta ya mbele ina potosha jamii kwa kupinga nadharia yako hiyo...inadai kuwa anal sex in a proper way they cant destroy you in any condition
Mpaka leo?Nitakuuliza Swali : bado hujaolewa mpaka leo?
Its either you are an illiterate individual or you have chosen to ignore the fact that us , humans, are social beings and therefore in being so whe have inheritedly been born with an internal need to associate and enforce relationships with other humans for survival. In doing so, we find ourselves in a constant struggle to conduct ourselves in such manner that calls for a similar but uniform culture of existing in behavioral patterns that will allow us to act in a way that brings less distraction and disintegration and doesn't compromise our future wellbeing.Watu wengi sana hasa waafrika watanzania,
They have a clear idea on how other people should lead their lives but none about their own life.
Ndio maana watanzania wengi hujiangaisha sana kufuatilia maisha ya wengine huku ya kwao yakiwashinda.
Sahihi.Hapo hiyo mada itakuwa imekugusa na umeielewa
Ooh sijajua kwanini umeamua kutumia mfano huu wa kifaa ambao mostly muundo wake ni wakibiashara so the more kinavyotumika ndio the more kinavyopoteza ufanisi so probably siwezi kununua kifaa used kwa bei sawa na ya dukani wakati najua tayari kimeshatumika sana so ufanisi wake uko mashakani.Kwa namna umesema ni sawa na kusema at least ukinunua gari used kwa bei ya gari mpya unakuwa umepunguza usumbufu wa kujua ubora wa gari sababu atakaelitumia na kukuuzia atakupa ushuhuda wa ubora wa hilo gari baada ya kulitumia muda mrefu sana na kulichoka kisha akakuachia kwa bei kuzidi ya soko kwa model mpya ya gari hiyo hiyo uliyonunu.
So nikuulize swali, mfano akija mtu akakuuzia iphone 7 pro max iliyotumika tena na mtumiaji zaidi ya m'moja kwa bei sawa na ya Iphone 15 pro max mpya ya dukani, utanunua na kujiona umefanya maamuzi sahihi? [emoji848]
Yaani, utasema afadhali nimenunua hii iphone 7 pro max imetumika lakini ipo vema sana na aliye tumia amenihakikishia alinunua ikiwa mpya na ameithibitisha kuwa ni original na ina guarantee ya ubora. Sipendi kununua hizi za sasa nasikia unaweza lipia bei ya juu na ukauziwa za kichina ingawa ni mpya [emoji848]
Unaweza kuwa mwendawazimu kiasi hicho kwenye matumizi ya pesa yako uliyoitolea jasho kununua kitu used na cha zamani kwa bei ya juu sawa sawa na bei ya modeli mpya ya hicho cha zamani ikiwa mpya kabisa bila kutumika popote? [emoji848]
Natoka familia masikini na hivyo naweza kukuambia kwa hakika kuwa hizo ni tabia tu za mwanamke mchafu aweza kuwa tajiri au masikiniHongera kwa kuzaliwa wakishua, hawa maskini ndiyo yanawahusu hayo hapo juu.
Umaskini mbaya sana.
Huu uzi una husiana vipi na muandishi kuwa mwanamke?We ni mwanamke ?
Hio ni moja mbili ni kwamba people are complicated na kuna variables nyingi sana huwezi ukageneralize KILA kwenye jambo lolote lile watu wapo tofauti kuna nymphomaniacs, kuna genophobia / erotophobia n.k.
Kwahio mtu yoyote anaye-generalize vitu huwa naona anahitaji kufahamu tu kwamba hajui hence ajifunze zaidi
Hujajibu swali.Kama kusikia hausikii, kuona hauoni, then nikikuelewesha si utaishia kulewa tu mzee? [emoji848]
So, let me ask you something, wewe unavyoishi hapo, hayo mazingira yanayokufanya upate mahitaji yako ya msingi kama hewa safi, utulivu hadi unalala kwa amani kunakucha, maji safi na salama ya kunywa na kuoga, you think ni outcome ya watu kuignore everything na kuchagua maisha ys kutofuatilia misconduct za wengine?Watanzania ni watu wa kupenda kupangia wengine maisha na kutaka kuwa washauri na wasemaji wa maisha ya wengine.!!