Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Hivi wanawake/mabinti wa kisasa unaweza watofautisha au kuwatenganisha na umalaya kwa mienendo yao?

Zingatia uhalisia usianze kutumia hisia kunijibu.

Mfano ni hai na ipo mingi, wanawake wanaweka wazi bila hela mwanaume hautakuwa na guarantee ya kuwa nae wewe pekee yako, meaning yupo available kwa wanaume watakaompatia pesa kukuzidi dau lako kama mwanaume wake.
Huyo ni mfanyabiashara na mpk anafikia hatua ya kukueleza hayo tayari kashakuona wewe ni MTEJA
 
The bad thing ni kua inawezekana toka ulipo na miaka 19 unagongwa na wanaume hovyo hovyo,unadhani ni easy huyo mwanaume unayesema wa level yako kuoa mwanamke used?,
Ila kama toka una miaka 19 haugongwi,yes upo sahihi,ndoa haina maana kwako
Kuna maneno mwanamke akiongea unajua tayari kuwa yupo stage gani ya Maisha.

Kwa huyu bi dada anaonekana yupo denial stage, anakataa ukweli kuwa umri wa ndoa umeshazaa kumpungia mkono wa bai bai.

Usishangae atafika miaka 38+ akisema mimi ndoa nikitaka hata kesho naolewa.

Sizitaki hizi mbichi. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza kuthibitisha hii kauli yako?
Kabisa. Nenda hapo mtandaoni google haya maneno "7 deadly sins" tafuta inayoitwa Vanity (also Pride or hubris )halafu soma maelezo yake kisha tazama namna wanawake wanatumia mitandao ya kijamii kama Instagram, TikTok, Facebook, X, only fans, etc.

Ushawahi ona mkao ule wa rabbit pose au bunny (binti anapiga picha tumikono ameweka kama sungura na sura ya sugura) that signifies alliance with the playboy culture?

Anyways, ipo hivi, matendo ya mwanamke anapokataa kufuata maandiko na kwa dhamira ya wazi kabisa akasema mimi sifanyi hivi wala vile kama maagizo ya MUNGU yanavyotaka, means ni kuside na kutii upande wa nani hata kama hajatamka kwa kinywa?

Tazama hicho kipozi hapo unambie haujawahi kukiona popote.
IMG_20230721_131927.jpg
 
Kuna Acc moja insta ya mbele ina potosha jamii kwa kupinga nadharia yako hiyo...inadai kuwa anal sex in a proper way they cant destroy you in any condition
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ya sasa kuna wajinga ambao wanaamini ujinga wao ni knowledge mpya wakati jamii imeshatoka huko na yote wanayofanya ni marudio ya ujinga ule ule ambao uliangamiza jamii nyakati hizo na sasa wanarudia sababu wamechagua kuwa wajinga.
 
Watu wengi sana hasa waafrika watanzania,

They have a clear idea on how other people should lead their lives but none about their own life.

Ndio maana watanzania wengi hujiangaisha sana kufuatilia maisha ya wengine huku ya kwao yakiwashinda.
Its either you are an illiterate individual or you have chosen to ignore the fact that us , humans, are social beings and therefore in being so whe have inheritedly been born with an internal need to associate and enforce relationships with other humans for survival. In doing so, we find ourselves in a constant struggle to conduct ourselves in such manner that calls for a similar but uniform culture of existing in behavioral patterns that will allow us to act in a way that brings less distraction and disintegration and doesn't compromise our future wellbeing.
 
Kwa namna umesema ni sawa na kusema at least ukinunua gari used kwa bei ya gari mpya unakuwa umepunguza usumbufu wa kujua ubora wa gari sababu atakaelitumia na kukuuzia atakupa ushuhuda wa ubora wa hilo gari baada ya kulitumia muda mrefu sana na kulichoka kisha akakuachia kwa bei kuzidi ya soko kwa model mpya ya gari hiyo hiyo uliyonunu.


So nikuulize swali, mfano akija mtu akakuuzia iphone 7 pro max iliyotumika tena na mtumiaji zaidi ya m'moja kwa bei sawa na ya Iphone 15 pro max mpya ya dukani, utanunua na kujiona umefanya maamuzi sahihi? [emoji848]

Yaani, utasema afadhali nimenunua hii iphone 7 pro max imetumika lakini ipo vema sana na aliye tumia amenihakikishia alinunua ikiwa mpya na ameithibitisha kuwa ni original na ina guarantee ya ubora. Sipendi kununua hizi za sasa nasikia unaweza lipia bei ya juu na ukauziwa za kichina ingawa ni mpya [emoji848]

Unaweza kuwa mwendawazimu kiasi hicho kwenye matumizi ya pesa yako uliyoitolea jasho kununua kitu used na cha zamani kwa bei ya juu sawa sawa na bei ya modeli mpya ya hicho cha zamani ikiwa mpya kabisa bila kutumika popote? [emoji848]
Ooh sijajua kwanini umeamua kutumia mfano huu wa kifaa ambao mostly muundo wake ni wakibiashara so the more kinavyotumika ndio the more kinavyopoteza ufanisi so probably siwezi kununua kifaa used kwa bei sawa na ya dukani wakati najua tayari kimeshatumika sana so ufanisi wake uko mashakani.

So mfano wako ukiuleta kwa upande huu utaingia kwenye upande wa umri maybe ila mimi sikuingia kwenye engo ya umri bali ya experience ndio maana ukiniletea dereva ambae ametoka kuhitimu pale NIT na yule ambae alishahitimu na akaifanyia kazi elimu yake kwa zaidi ya miaka kadhaa na akaanza kunihadithia ajari kadhaa ambazo aliwahi kuzipata akiwa kwenye majukumu yake basi mimi nitaenda na yeye bila kujali ya kwamba alishaangushaga gari coz naamini kwenye hizo ajari alizowahi kuzipata zimempa funzo na kumkomaza kama dereva.

Kwahiyo ni experience mkuu na sio uchakavu, coz wadada wengi wenye hizo tamaa tajwa hapo juu ni wale wa 20s ila wengi wakishaingia kwenye 30s akili zinawakaa sawa na wale wanaowahi kuolewa kwenye hiyo age ya 20s ndio huwa hawatabiriki ni lini watakengeuka kutamani kuyaishi hayo maisha tajwa hapo juu maana kuna wengine wanaweza kuacha familia zao hata 40s na wakaenda kuhangaika na maisha yanayofanywa na wajukuu zao heheheee.
 
We ni mwanamke ?

Hio ni moja mbili ni kwamba people are complicated na kuna variables nyingi sana huwezi ukageneralize KILA kwenye jambo lolote lile watu wapo tofauti kuna nymphomaniacs, kuna genophobia / erotophobia n.k.

Kwahio mtu yoyote anaye-generalize vitu huwa naona anahitaji kufahamu tu kwamba hajui hence ajifunze zaidi
Huu uzi una husiana vipi na muandishi kuwa mwanamke?

So kwa hii logic yako, ni kwamba ili daktari aweze mtibu mtu wa gonjwa fulani hatari anatakiwa kwanza yeye aumwe ndipo aelewe namna ya kuutibu huo ugonjwa?

Are you trying to be smart here?

Another thing, am not being general here, am being contextual.
 
Watanzania ni watu wa kupenda kupangia wengine maisha na kutaka kuwa washauri na wasemaji wa maisha ya wengine.!!
So, let me ask you something, wewe unavyoishi hapo, hayo mazingira yanayokufanya upate mahitaji yako ya msingi kama hewa safi, utulivu hadi unalala kwa amani kunakucha, maji safi na salama ya kunywa na kuoga, you think ni outcome ya watu kuignore everything na kuchagua maisha ys kutofuatilia misconduct za wengine?

Two things you are displaying here, first is your ill will to question the good social norms,morals and conducts and secondly, your irresponsibility as a civilian to notice and paying heed on the morally wrongs of your own kind that totally raze the woman's value and standards in the society.

Have some class, its worth it.
 
Back
Top Bottom