You are a troll that's not worth my shells.You are getting emotional a perfect indicator that you're characterized by feminine elements in your composition that makes your vulnerable when subjected to extreme higher frequency of thinking that requires logical processing.
You are not an Alpha masculine male you are a Beta emasculated male.
We can't have this conversation you are totally unable to withstand and control your emotions.
So wapi nimeongelea ubakaji mzee au umeamua tu kugombana na mimi bila sababu? [emoji848]Hoja zako ni za hovyo umekua na hoja za kijumla kwa jinsia ya kike katika tuhuma zako, harafu umeshindwa kujenga hoja ambayo ina balance atmosphere ya kijinsia....
Wewe ni wa hovyo...fahamu kuwa wabakaji a wanajisi ni wanaume zaidi ya wanawake....
Sasa je umalaya ambao ni tendo la hiyali unaweza zidi uharamu na jianaizaidi ya Ubakaji na unajisi??!!! ambao kwa takwimu unafanywa zaidi na wanaume.....????
Kimsingi umechagua nafasi yako Kwenye jamii kuwa utatumia wanawake wa aina gani and you are okay with that. Sasa Mimi sijakulazimisha uwe tofauti kama nilichokiongea kwako umekiona ni ukandamizaji.Hakuna haki nnayoiminya mkuu isipokua natenda haki coz mimi pia sijadate na mwanamke mmoja bali nimedate nao kadhaa na sijawaoa na unadhani hawatoolewa?
Basi kutokana na hiyo sijawahi kujiwekea hayo matarajio ya kuoa huyo bikra kwanza sina mpango kwa maana wewe mwenyewe umekiri kwamba huwa wanafikiaga sehemu wanatamani kujaribu jaribu mambo sasa wataka aje atest test nikiwa nimeshamuoa? Mbona haunitakii mema mkuu.
Na sijaassume kwamba kila mwanaume anaeoa anaoa mwanamke asiye bikra ila nimekwambia sikuizi watu kuoa wanawake ambao sio bikra ni jambo la kawaida mno na tunaona wanadumu kwenye ndoa zao kama kawaida.
Uamini take your time, chukua rafiki zako hata kumi ambao wameoa na ufanye kasimple research ujue kama wake zao waliwakuta nayo au walikuta tumeshaitoa? Then utuletee mrejesho.
NB: hakikisha hao rafiki zako bado wapo kwenye generation Y angalau, usije ukaenda kuwahoji wazee sasa hahahaaaa.
Finally you have just figured a best decision to make. Get gone and be gone for good. Sasa ulitaka nikubembeleze kusoma nyuzi zangu? Ebo.You are a troll that's not worth my shells.
Straight to my ignore list.
I will not see any of your subsequent posts.
Kuna sehemu na mimi niliwaza hivihivi nikanyanyua tu mikono juu yaishe.Mh! shida nikubwa kuliko niliyokua naiwaza.
Nahisi anachotaka kusema na alichosema sio kitu kimoja ila hajashtukiaUtata mwingi sana
Kitabu ni biblia mtu wa Mungu.Kijana mbona unaongea vitu tentative? Kama kuna kitabu umeisoma hii nakiomba mkuu
Kaka, HAKUNA asiyetaka au kutamani kufanya maovu (uzinzi, uasherati, ufisadi, uchawi, ulozi, ufiraji , husuda na mengine yote yalotajwa na MTUME PAULO-WAGALATIA 5:19-21). Hata hivyo, mwili (binadamu) unao uwezo wa kujizuia kupitia roho wa MUNGU (utashi). Isingekuwa hivyo, maovu yangekuwa mchanga wa bahari kwa wingi. Hakuna asiye na tamaa asilani ila self discipline ndiyo hutuzuwia kuufuata moyo muda wote.🤣Mnajua nyie watu ndo mnafanya dini ionekane imeundwa na mwanaume kwa ajili ya mwanaume....mara mwanaume akitaka apewe, mara mwanamke asionekane ngozi mwanaume atadisa...dini imetengenezwa kucontrol watu wasio na nguvu including wanawake. Cha kufanya ni kuwekeana mipaka na watu unaowajali na kuwafundisha maadili. Sio unaanza kukamia watu...je we ni bikra? Umeoa bikra? Hutamani wanawake mitandaoni? Sasa mna tofauti Gani. Tatizo wanaume tunapenda kuweka vigezo ambavyo sisi wenyewe hatupendi kufata na tukiambiwa tunakimbilia dini
Tuanze na... Uzinzi...Kaka, HAKUNA asiyetaka au kutamani kufanya maovu (uzinzi, uasherati, ufisadi, uchawi, ulozi, ufiraji , husuda na mengine yote yalotajwa na MTUME PAULO-WAGALATIA 5:19-21). Hata hivyo, mwili (binadamu) unao uwezo wa kujizuia kupitia roho wa MUNGU (utashi). Isingekuwa hivyo, maovu yangekuwa mchanga wa bahari kwa wingi. Hakuna asiye na tamaa asilani ila self discipline ndiyo hutuzuwia kuufuata moyo muda wote.
Siku utapoona connection ya mdogo ako wa kike akiliwa kiboga baada ya kuleweshwa pombe ndio utakapoelewaTafuta hela bro uache makasiriko kwenye maisha ya watu,
Life is too short, be happy and wild