Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

If i stay in a small town of 100, 000 people situated in the middle of a country with a total population of 55,000,000 people including those 100, 000 people in my town, who every day drink heavily by 99% of them not including me.

And i make a statement online which then viewed by most of 55,000,000 population, and i say, "Watu wa hii inchi ni walevi sana". And you, living outside and far from my small town. Will that statement be factual to you, or will it be me making a fundamentally wrong observation because you don't seem to notice anyone drinking around you like the way i notice no body being sober around me? [emoji848]
You have coupled several logical fallacies here.

1. Logical non sequitur. Just because people in your small town drink heavily, that does not mean people in that country are walevi.

2. It is also a hasty generalization logical fallacy.

3. You have also introduced a strawman argument fallacy that I do not seem to notice anyone drinking around me. That is not my objection, my objectionnis you can't possibly observe every modern woman in the world.

You just made shit up.
 
Hajapitia, aliolewa mapema na kutulia mapema hadi sasa yupo ndoani respectfully.

Unajiskiaje kujibiwa kistaarabu ukitegemea matusi. Grow up. Mimi sio teenage mwenzako.
Kabla ya kuolewa una uhakika gani hakupitia hayo uliyoyaandika?

Tena inaonekana alikuwa wa moto balaa
 
You have coupled several logical fallacies here.

1. Logical non sequitur. Just because people in your small town drink heavily, that does not mean people in that country are walevi.

2. It is also a hasty generalization logical fallacy.

3. You have also introduced a strawman argument fallacy that I do not seem to notice anyone drinking around me. That is not my objection, my objectionnis you can't possibly observe every modern woman in the world.

You just made shit up.
You see now where me na wewe we don't seem to understand?

Mimi nipo in a small town and everyone around me ni mlevi, so nikisema watu inchi hii ni walevi, my point is valid Sababu that's what's around me 24/7. Wewe hauoni ninachokiona una question at the national level which you dont see what i see.


Mimi nikitazama social media na networks, mitaani, viwanja na sehemu ninyi ninazopita naona hicho nilichoandika wewe unakuja nibishia yet we don't use the same phone, you don't hang with me, you are not around my environment yet you have the audacity to question my observation. [emoji848]

What makes you valid and me invalid? [emoji848]
 
You sound woke and definitely delusional. Sasa ni swali gani hili unaniuliza kuwa nimeoa au kuolewa na huelewi jinsia yangu ni ipi?

Hivi kama umefeli kung'amua hilo ungewezaje kuelewa hoja zangu? [emoji848]

Please be gone.
Jinsia kwa ulimwengu huu inatakiwa mhusika aitamke au kuiapia....wanaume wanaolewa na wanawake wanaolewa vice versa is true......

Anyaway kwahiyo unataka hoja yako ishinde????Basi acha ishinde sababu mjinga na mpumbavu hupewa ushindi ambao hauna tija!
 
Katika maisha ya mwanamke wa kisasa, kuna stage imekuwa introduced inaitwa "Hoeing phase". Hii ni stage ambapo mwanamke anakuwa anataka kuwa huru kufanya yale yote ambayo jamii imekemea mwanamke kufanya au yale yote vitabu vya MUNGU vimepiga marufuku ili ajisikie kuwa ameishi kwa utimilifu maana bila kufanya hivyo maisha hayajakamilika kwake.

Mfano wa mambo yaliyopigwa marufuku na jamii na vitabu vya MUNGU ni

1. Kufanya umalaya yaani kulala na mwanaume zaidi ya m'moja au nje ya mume wa ndoa kwa sababu za kujaribu tu kuwa na mtu tofauti.

2. Kufanya Ukahaba yaani kutumia mwili kujipatia kipato au vitu ambavyo hawezi lipia kwa pesa yake mwenyewe na mara nyingi vinakuwa si vitu vya lazima kuwa navyo ila basi tu mradi kwenda na trend ya wakati husika.

3. Kuweka tattoo mwilini, kuvaa nywele bandia, kutia vipini hata sehemu zilizokatazwa kiimani.

4. Kuvaa nguo za kuachia maumbile yaonekane kwa lengo la kutamanisha wanaume ili wamfuate na kumtaka kingono.

5. Kuzurula mijini na kutoa macho kumangamanga kama binti aliyevunja ungo wiki mbili zilizopita.

6. Kumkana MUNGU kwa matendo na kumkiri shetani kama kiongozi wa nafsi kwa usiri na kwa hiyari.

7. Kuingiliwa na wanaume wengi kwa wakati m'moja baada ya kutumia kilevi cha kutoa aibu.

8. Kutengana na mume kwa muda na kukaa mbali na watoto for "sista hood" moment. Muda huu huwa wanaita vacation. Wanakuwa na kikundi cha marafiki mafenist a.k.a mafreemason wasiojua maana ya ndoa wala heshima ya familia, wanakuwa wasimbe wanaojifanya ni mabinti wa miaka 19 kumbe ni watu wazima wa miaka 27+ au hata 35+.

9. Kuzaa na mtu ambaye anajua kabisa kuwa ni irresponsible kuwa baba wa mtoto mfano, mume wa mtu, kijana ambaye hana appearance ya kuwa baba wa familia a.k.a wasuka rasta, wavaa mlegezo jeans kuchanika, tattoo shingoni, wazee wakushinda spaa akijitengeneza kucha na uso uwe soft kama wa mwanamke, mzee wa kuomba hela , kukaa kwenye apartments za dada, shemeji, au familia, etc, hawa ndio huwa wanaamua kuzaa nao sababu ni very cute, so adorable [emoji7] I want my baby to have your eyes, your lips.

10. Kutest maumbile ya madudu ya wanaume tofauti tofauti kila mwezi ili kugundua ladha wanazosema wanawake wenzake ambazo yeye hajawahi kuonja hata kama itarisk afya yake, ila hatojali.

11. Kutest kuingiliwa kinyume na maumbile sababu wanawake wenzake wamefanya na wanasema ni raha na ina faida kadhaa. (Ushenzi mtupu.)

12. Kucheza na hisia za mwanaume ambaye ana dhamira ya kufanya maisha ya ndoa nae na yupo tayari kwa commitments kwa kumpiga chenga za kitoto,deko zisizo na mbele wala nyuma, kuhairisha miadi kukataa proposals na kadhalika.
Deep down anakuwa anajua mwanaume ana upendo wa kweli ila anachagua kutompa nafasi anamuweka kwenye waiting list ili kwanza amalize "hoe phase" then akisha chakaa atamrejea baadae huko ndipo waongee maswala ya ndoa hapo aidha ana mtoto au watoto wa mwanaume au wanaume wengine, au umeshachakaa mwili hauna tena mvuto na ameshastuka kuwa soko lake (Sexual Market Value) imeanza declining phase na anapoteza attention kwa kasi sana.

13. Kupost picha, video, na captions zinazokwenda na trends za social network bila hata kujali wala kujua madhara yake siku za baadae. Ikiwamo pia na kujoin social networks kwa lengo la kuongeza market ya attention ya wanaume watakao mtazama na ikibidi kuwafanyia vitu wanavyotamania ili awashike akili na kuweza kupata chochote tokea kwao. Mitandao kama TikTok, Only Fans, Instagram inatumika sana kujinadi na kufanikisha "hoe phase" kwa kiwango kikubwa.



Whore phase kwasasa ni stage ambayo mabinti na wanawake wa kisasa wanaipa umuhimu sana, tofauti na mama na bibi zetu ambao waliiona kama ni abomination, Haramu na kwenda kinyume na maadili ya jamii na uanamke.
Hata miaka hiyo wapo wanawake ambao waliifanya kama kutoroka nyumbani kwenda club, kunywa pombe na vilevi etc mambo ambayo wazazi wakijua wanaweza patwa mshituko wa moyo.
Ila haikuwa extended kama na kwa kiwango kikubwa na cha kutisha kama cha sasa.
Whore phase kwasasa inafanywa with Passion na dedication kabisa na matendo yake yameongezeka level ya uchafu na wazi wazi na jamii ya wanaume Ma"simp" ndio wadhamini wa "hoe phase" wakikakikisha hawa mabinti na wanawake wanaojipitisha stage hii wanakuwa na security ya kufanya upuuzi wao kwa amani na kujiamini.
Mafeminist wamejitoa kuwa watetezi wa hizi laana na kutoongelea au kukemea popote huku wakijinadi kuwa wao mafeminist wapo kwaajiri ya kuteta ustawi wa mwanamke kumbe ndio washenzi mafreemason wa kwanza kwa kuudidimiza utu wa mwanamke kwa kumpotosha kuhusu value zake za asili.

Kwa upande mwingine wanaume Masimp wanawapa assurance wanawake ya kuwa watakapomaliza upumbavu wao na kutaka kuwa serious wao watakuwa milango wazi kuwapokea na kuwa mume mwema huku wakisamehe madhambi yao yote waliyowahi wafanyia au uchafu waliofanya katika usichana wao na watabeba majukumu yote ikiwamo watoto ambao si wao.
14. Kubadilishwa sheria ya ndoa iwe ya mkataba badala ya ndoa kuwa kifungo cha maisha. Hii itasaidia mwanamke kuvunja mkataba pale anapoolewa na jianaume "ngumi mkononi".

15. Uhuru wa mwanamke kuoa mwanaume mmoja au zaidi ya mmoja (mitala). Hii itasaidia mwanamke kuwa na uhuru wa kufanya machaguo ya wanaume anaowapenda kwa uhuru zaidi.
 
You see now where me na wewe we don't seem to understand?

Mimi nipo in a small town and everyone around me ni mlevi, so nikisema watu inchi hii ni walevi, my point is valid Sababu that's what's around me 24/7. Wewe hauoni ninachokiona una question at the national level which you dont see what i see.


Mimi nikitazama social media na networks, mitaani, viwanja na sehemu ninyi ninazopita naona hicho nilichoandika wewe unakuja nibishia yet we don't use the same phone, you don't hang with me, you are not around my environment yet you have the audacity to question my observation. [emoji848]

What makes you valid and me invalid? [emoji848]
Umesema "kila mwanamke wa kisasa" wqkati hata hiyobsocial media huoni yote.

You are a troll.
 
Jinsia kwa ulimwengu huu inatakiwa mhusika aitamke au kuiapia....wanaume wanaolewa na wanawake wanaolewa vice versa is true......

Anyaway kwahiyo unataka hoja yako ishinde????Basi acha ishinde sababu mjinga na mpumbavu hupewa ushindi ambao hauna tija!
Sijui umetaka kuongea nini, and maybe ningejua upumbavu upo eneo gani but sijakuelewa mzee, so if hauwezi kujenga hoja fanya kama unapotezea.
 
14. Kubadilishwa sheria ya ndoa iwe ya mkataba badala ya ndoa kuwa kifungo cha maisha. Hii itasaidia mwanamke kuvunja mkataba pale anapoolewa na jianaume "ngumi mkononi".

15. Uhuru wa mwanamke kuoa mwanaume mmoja au zaidi ya mmoja (mitala). Hii itasaidia mwanamke kuwa na uhuru wa kufanya machaguo ya wanaume anaowapenda kwa uhuru zaidi.
Sijui umeongea nini mzee. Mwanamke anaoa vipi? Halafu kama haujui uwe unauliza, mwanamke au mwanaume akifanyiwa ukatili ndoani serikali huwa na mamlaka ys kuvunja ndoa, so sheria ipo ni wewe tu haujui unachoongea. Hebu nenda kalale kama hauna hoja.
 
Umesema "kila mwanamke wa kisasa" wqkati hata hiyobsocial media huoni yote.

You are a troll.
Kwahiyo nikikuta kundi la Wanaume 100 wamesimama sehemu wamevaa mavazi tofauti tofauti ikiwamo mashati,fulana na suti nikasema kila mwanaume mwanaume aliyevaa fulana anifuate, nitakuwa nimesema wanaume wote wanifuate au? [emoji848]
 
Sijui umetaka kuongea nini, and maybe ningejua upumbavu upo eneo gani but sijakuelewa mzee, so if hauwezi kujenga hoja fanya kama unapotezea.
Hoja zako ni za hovyo umekua na hoja za kijumla kwa jinsia ya kike katika tuhuma zako, harafu umeshindwa kujenga hoja ambayo ina balance atmosphere ya kijinsia....

Wewe ni wa hovyo...fahamu kuwa wabakaji na wanajisi ni wanaume zaidi ya wanawake....

Sasa je umalaya ambao ni tendo la hiyali unaweza zidi uharamu na jinai zaidi ya Ubakaji na unajisi??!!! ambao kwa takwimu unafanywa zaidi na wanaume.....????
 
Yes.

The problem is you don't think, you stink.
You are getting emotional a perfect indicator that you're characterized by feminine elements in your composition that makes your vulnerable when subjected to extreme higher frequency of thinking that requires logical processing.

You are not an Alpha masculine male you are a Beta emasculated male.

We can't have this conversation you are totally unable to withstand and control your emotions.
 
Stop SIMPING. Wewe acha kuwa simple minded hivyo hadi unajibinya haki zako. Mabinti bikra wapo na wanapatikana bila shida sema wewe huna jeuri ya kuwinda ila unaweza vilivyonyongwa au mizoga.

Wewe una assume kila mwanaume anaepata mwanamke basi ni used, jambo ambalo si kweli.
Hakuna haki nnayoiminya mkuu isipokua natenda haki coz mimi pia sijadate na mwanamke mmoja bali nimedate nao kadhaa na sijawaoa na unadhani hawatoolewa?

Basi kutokana na hiyo sijawahi kujiwekea hayo matarajio ya kuoa huyo bikra kwanza sina mpango kwa maana wewe mwenyewe umekiri kwamba huwa wanafikiaga sehemu wanatamani kujaribu jaribu mambo sasa wataka aje atest test nikiwa nimeshamuoa? Mbona haunitakii mema mkuu.

Na sijaassume kwamba kila mwanaume anaeoa anaoa mwanamke asiye bikra ila nimekwambia sikuizi watu kuoa wanawake ambao sio bikra ni jambo la kawaida mno na tunaona wanadumu kwenye ndoa zao kama kawaida.

Uamini take your time, chukua rafiki zako hata kumi ambao wameoa na ufanye kasimple research ujue kama wake zao waliwakuta nayo au walikuta tumeshaitoa? Then utuletee mrejesho.

NB: hakikisha hao rafiki zako bado wapo kwenye generation Y angalau, usije ukaenda kuwahoji wazee sasa hahahaaaa.
 
Back
Top Bottom