Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

Kwa hiyo wanafanya matusi barabarani?Wapi hapo?Mibirani,Ng'ambo,Isevya,Ipuli,Kwa Hassan Mawese,Minazi Mikinda,Geti la Milambo Sekondari kwa Mama "Asumani",Kipalapala,Kwa Ka anyenyela,Itetemya,Kariakoo,Kwa Gondwe,kwa Masempele,Kachoma,Kazima,Uzuri wa Kondoo,Chekeleni,Mnadani maili saba,Kwa Mpumunti,Kandiloni,Kwa Boga au wapi?[emoji848]
Kazima kasoma dada angu ECA,
 
Si nasikia Tanga ndio mapenzi yalikozaliwa au Mimi ndio sielewi?.
Nimefika Tabora mara kadhaa sambamba na hilo katika usomaji na ufuatiliaji wa threads za hapa jukwaani, nimebaini pasipo na shaka wala mawaa yoyote yale kuwa mkoa wa Tabora unaongoza kwenye tiba ya upwiru na upatikanaji wa wana upwiru hasa wenye virutubisho mpakato.

Toka kitambo si kwa waliosoma Tabora, waliopita, kibiashara, kikazi, wote wanakiri kuwa Tabora Kwa ngono na urahisi wa ngono ni kawaida sana.

Mabinti wa Tabora wanapewa baraka za kufanya hayo na wazazi na walezi wao na sio jambo geni bali ni utamaduni wao wa kuyaishi mapenzi.

Kama wapo wanaobisha tukutane chini kwenye comments.

Tabora ni moto na Tabora ni mama lao, si mishangazi, si vitoto si midada Tabora ni next level.

Kama kawa kama kawaida kama dawa Tabora ni kitovu cha kutibu upwiru.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Kwa hiyo wanafanya matusi barabarani?Wapi hapo?Mibirani,Ng'ambo,Isevya,Ipuli,Kwa Hassan Mawese,Minazi Mikinda,Geti la Milambo Sekondari kwa Mama "Asumani",Kipalapala,Kwa Ka anyenyela,Itetemya,Kariakoo,Kwa Gondwe,kwa Masempele,Kachoma,Kazima,Uzuri wa Kondoo,Chekeleni,Mnadani maili saba,Kwa Mpumunti,Kandiloni,Kwa Boga au wapi?🤔
Asante kwa kuweka bayana sehemu za kuutoa upwiru kwenye viunga vya Tabora 🙏🙏🙏 wakuu chukueni notebooks zenu hizo sehemu ni muhimu
 
Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
 
Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
Tabora yetu ni kama toronto
 
Back
Top Bottom