Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

Wahenga walishasema 'Mzigo mzito mpe Mnyamwezi' nimekuelewa mkuu, Ila ile story yako ya ex aliekua anakuepelekea Moto nilikuelewa zaidi

Woow, it seems my ex story really touched you.....🤔🤔🤔

Do you want to meet him, my ex I mean...!! You wanna learn something from him, you can find him if you want....

He's at Dodoma former parliament servant, now retired 😑.

Adios 🥸.
 
Tabora nimefika pale mjini, Uyuwi, Urambo, kaliua mpaka Ulyankulu kwa warundi.

Ila yaliyosemwa humu ni kweli ukiingia utoki.

Nimekutana na Wazaramo na Wandengereko kati kati ya Uyuwi, Ulyankulu, Urambo wakilowea baada ya kukutana na wanawake wa Kinyamwezi.

Hivyo mtoa mada ana hoja
 
Tabora imebadilika. Wale wanawake wa kukufanya usahau kuwa umekuja kikazi urudi kwako dar au arusha, sasa hivi hawapo. Kuna hii generation mpya Ambayo ni uniform product kama unayoipata tu anywhere hapa tanzania.

wa enzi hizo walikua wakarimu, nadhifu, hawana mambo mengi, ukikaa nae hata kama una laki tu unaweza kaa mwezi nzima kiroho safi, unakula vizuri na game unapewa la maana. That uniquiness is gone.
 
Tabora hamna haja ya kutongoza, kuomba namba au kujua jina la demu..

Unapigapiga nae tuu story gafla unajikuta teyari ushamsukumizia msonobari
 
Kule nilikuta mtoto wa miaka 13 ana mabwana mtaa mzima na kuna jamaa wa makamo nilionyeshwa alizimia wakati anakula hako katoto baada ya kupelekewa moto na dogo
Sasa eneo kama hilo halifai, watu wametumika sana.
 
Msipotoshe ya wanyamwezi tafadhali.

Mtuachie Tabora yetu kwa amani, kinachowaponza Wanyamwezi ni ukarimu wao tuu.
Mgeni anakirimiwa na mlo ulioandalowa mahsusi, sio kiporo.

Wakati anasubiri chakula kiandaliwe atapewa karanga na asali
Chakula kikiiva ni ugali wa dona kuku wa kienyeji mboga za majani zilizoungwa na karanga (nsansa na nswalu)
Akimaliza kula ataletewa maziwa na matobolwa wakati anamalizia maongezi
Akiwa anaondoka atafungashiwa mahama.

Kama ni mgeni wa kukaa zaidi ya siku tatu, siku ya nne anatoka na wenyeji wake kwenda shamba.

Wanyamwezi ni wakarimu.... Ila wakikasirika utakimbia na tai kichwani.....

Kuna wageni waliolowea Tabora kama wanyamwezi wanawachakachua sana wanyamwezi, (majirani wanaoizunguka tabora... waha, wanyarwanda waliolowea Kahama, wanyiramba na wanyaturu n.k.)

Tabora ni yetu, amani na utulivu ni wetu.
Matobolwa na mahama ni nini?
 
Kuna msemo huwa unasema....

Baada ya kukaa na sisi kwa siku nzima au wiki nzima, mazuri yetu yachukue, mabaya yetu tuachie...

Wanyamwezi wanajituma kwenye shughuli za kilimo, Tabora hakuna njaa, huwezi kutqna na mnyamwezi ana kwashakoo au amedhoofu kwa kukosa chakula.

Tunaamini mtu akila akashiba kuna mawili, atakutendea mema au kutendea wengine mema, au atakugeuka atakutendea mabaya maana amepata nguvu ya kufanya ubaya au ataenda tendea wengine ubaya...

Sisi tunawakirimu watu kwa chakula wale washibe hadi wasaze, halafu hatujali malipo. Ila Mnyamwezi aliyekasirika kaa nae mbali, usijesema hukuambiwa mapema.

Tabora tunalima mahindi, maharage, viazi vitamu, karanga, ufuta na tumbaku kama mazao ya chakula na biashara.
Asali ipo ya kiasili na kurina kwa kutengeneza mizinga ya nyuki kwa ajili ya biashara.
Tuna mifugo ya kutosha, ng'ombe na mbuzi hivyo nyama na maziwa yapo tele. Tunafuga kuku wa kienyeji ni wakubwa hadi unaweza kushangaa na usiamini kama ni kuku.

Hayo ni mazuri na mema ya wanyamwezi, yachukue ukayaendeleze.

Mabaya utayokutana nayo yaache kama yalivyo, ukiyachukua sio tuu unaenda kuyasambaza na kuwaanika wanyamwezi, bali unajiharibu na wewe maana sifa/tabia ni nguo... utajikuta ili uisimulie vizuri/uisambaze itakuwa umeivaa matokeo yake unaowasimulia na kuwasambazia watakuona wewe ndio sio....

Wanyamwezi tumekaa palee....🤓.

View attachment 2792192

View attachment 2792193

View attachment 2792194View attachment 2792201

View attachment 2792202
Ni wilaya gani nzuri zaidi kukaa kiuchumi, kuufugaji au kilimo ili nihamie kwenu?
 
Kama unapenda kwa.mpalange tabora utahamia .na wanamakalio balaa
 
Kama unapenda kwa.mpalange tabora utahamia .na wanamakalio balaa
Mnazungumzia wanyamwezi gani hao? Hawana shepu ni irregular. Kwa kule ukiona wenye shepu ni wasukuma. Wanyamwezi shepu watoe wapi? Labda awe amechanganya na msukuma au mtutsi.
 
Back
Top Bottom