Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Una mume wa kumloga kwanza?
 
TUNA

KATAA NDOA

NDOA NI WIZI

NDOA NI UTAPELI

NDOA NI ULAGHAI

NDOA NI UNYONYAJI

NDOA NI UTUMWA

NDOA NI HUJUMA

NDOA NI UBADHIRIFU WA MALI ZA MWANAUME.

KATAA NDOA.[emoji419][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Unakwenda kurogea wapi Kwa mwamposa?.
Kwanini usimroge babako akawa na Mali zaidi ya baresa?
 
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.

Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.

Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
endeleeni kushabikia hili jambo huku mkisahau kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani.. hili jambo litafanya wanawake watupelekeshe sana kwenye ndoa zetu za siku hizi hili jambo halina afya hata kidogo kwa maslahi mapana ya hatma za wanaume wengi in future.. mnachoshindwa kuelewa hii movie ni kwamba huyu mama hakimi ndiye kubwa la maadui aliyekaa katikati ya mke wa hakimi na hakimi mwenyewe akijafanya kumlinda mwanaye but in real sense ametumika kama chombo cha kuharibu ndoa ya mtoto wa mwenzie.. adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.. am over with this world..
 
Back
Top Bottom