DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Thread na iishie hapa.Saivi walioa watacheza kama Hakimi na tusioa tunakuwa kama Mond ni kupiga, kuzalisha na kusepa. Mpaka mshike adabu [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread na iishie hapa.Saivi walioa watacheza kama Hakimi na tusioa tunakuwa kama Mond ni kupiga, kuzalisha na kusepa. Mpaka mshike adabu [emoji3]
Una mume wa kumloga kwanza?Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TUNA
KATAA NDOA
NDOA NI WIZI
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI ULAGHAI
NDOA NI UNYONYAJI
NDOA NI UTUMWA
NDOA NI HUJUMA
NDOA NI UBADHIRIFU WA MALI ZA MWANAUME.
KATAA NDOA.[emoji419][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
Aitoe wapi?kuna post alisema ana muonekano wa tommy boy😀Una hiyo ndoa?
Unakwenda kurogea wapi Kwa mwamposa?.Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
endeleeni kushabikia hili jambo huku mkisahau kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani.. hili jambo litafanya wanawake watupelekeshe sana kwenye ndoa zetu za siku hizi hili jambo halina afya hata kidogo kwa maslahi mapana ya hatma za wanaume wengi in future.. mnachoshindwa kuelewa hii movie ni kwamba huyu mama hakimi ndiye kubwa la maadui aliyekaa katikati ya mke wa hakimi na hakimi mwenyewe akijafanya kumlinda mwanaye but in real sense ametumika kama chombo cha kuharibu ndoa ya mtoto wa mwenzie.. adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.. am over with this world..Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu