Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubarikiwe mwana wa Mungu aliye juu,Hata sasa Bwana ametusaidia. Ebenezer
We subiri uje ushambuliwe,kisa hujasema wanayotaka kuyasikia na kuaminisha nafsi zao.
Ubarikiwe mwana wa aliye juu,Namshukuru Mungue Kwa yote hadi miaka hii niliuofikisha Duniani!!
2Wafalme 3:7Salaam , Shalom!!
Hakuna Cha Bure yupo MMILIKI , mtoaji, Muumba wa vyote,
Sisi WANADAMU Kwa ujumla wetu, masikini Kwa tajiri, mgonjwa Kwa mzima, mrefu Kwa mfupi, mweupe Kwa mweusi nk nk tunavuta PUMZI ya uhai Bure kabisa.
Wema Kwa waovu, tunapata Bure PUMZI ya uhai.
Wenye dini Kwa wapagani, tunaye Mungu mmoja atupaye Pumzi ya uhai Bure.
Wote Kwa nafasi zetu, tupite katika Uzi huu kumshukuru Mungu Kwa Kila nama atakayokujalia kumsifu na kumshukuru.
Ukiquote mstari wa Neno la Mungu, ni sawa, ukiweka wimbo ni sawa, ukishukuru Kwa maneno ya kinywa chako ni sawa, na hata ukisema tu "ASANTE", yatosha.
Karibuni🙏
Ameen ameenAsante Mungu kwa pumzi hii, sifa na utukufu viwe kwako ewe utatu mtakatifu, ndiwe peke yako Mungu mkuu!
MkuuSalaam , Shalom!!
Hakuna Cha Bure yupo MMILIKI , mtoaji, Muumba wa vyote,
Sisi WANADAMU Kwa ujumla wetu, masikini Kwa tajiri, mgonjwa Kwa mzima, mrefu Kwa mfupi, mweupe Kwa mweusi nk nk tunavuta PUMZI ya uhai Bure kabisa.
Wema Kwa waovu, tunapata Bure PUMZI ya uhai.
Wenye dini Kwa wapagani, tunaye Mungu mmoja atupaye Pumzi ya uhai Bure.
Wote Kwa nafasi zetu, tupite katika Uzi huu kumshukuru Mungu Kwa Kila nama atakayokujalia kumsifu na kumshukuru.
Ukiquote mstari wa Neno la Mungu, ni sawa, ukiweka wimbo ni sawa, ukishukuru Kwa maneno ya kinywa chako ni sawa, na hata ukisema tu "ASANTE", yatosha.
Karibuni🙏
Sisi tumsifu tu na kumshangilia Kwa vinubi ,vinanda na baragumu tukiuzunguka mji,Mkuu
Umeshachungulia ukaona ukombozi wa Taifa umekaribia!!?
Mjoli wa Bwana anakaribia kutwaa kitara!!?
Jina la Bwana lihimidiwe!!
Amen, amen.Zaburi 104:1
Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.
Wewe, BWANA, Mungu wangu,
Umejifanya mkuu sana;
Umejivika heshima na adhama.
Pumzi ya Bure na Muujiza wa kuamka salama, ni jambo la kumshukuru Mungu🙏Kuamka kwangu na uzima huu nilonao ni kwa Neema tuuu
Asante Mungu
Hawana akili nawapa za uso.
Kajibadilisha kuwa mwanadamu, ili ajiue mwenyewe(yeye ni Mungu hawezi kufa), ifanyike sadaka kwake yeye mwenyewe.
Huoni hadithi hizo?
Hakuna haja ya kufika kote huku wazee.Wanaelewa basi? Eti tulizaliwa tukakuta hivyo, na sisi tukafata mkumbo,na watoto wetu lazima wafate.
Ukisema akili hawana,utaonekaana mbaya. Kama aloleta hayo mwendawazimu? Si wao yale yale tuuu
Tunamsifu tu Mungu katika Uzi huu,Hakuna haja ya kufika kote huku wazee.
Alimradi maisha mliyoyachagua mmeridhika nayo na hayaonyeshi kumkera yeyote vizuri waacheni waliochagua njia zao nao wazifuate,mbona hamna case hapo?