Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mpango wa Marekani kuzuia baadhi ya nchi kuwa na silaha za nuclear sio sahihi tena kipindi hii ambapo kuna kushuhudia kuongezeka kwa vita na migogoro kati ya nchi.
Kinachotakiwa sasa hivi ni kila nchi iruhusiwe kumiliki silaha za nuclear kwa ajili ya ulinzi na hii inaeweza kueleweka vyema kupitia dhana za Mutually Assured Destruction(MAD) na rational deterrence.
Ni vigumu sana nchi yenye silaha za nuclear kuvamiwa, pia ni vigumu sana kwa nchi zenye silaha za nuclear kupigana vita kati yao hali itakayopelekea kuwa na "nuclear peace".
Nuclear ndio kila kitu karne hii, kila anayetaka aruhusiwe kuwa nazo ili kuleta heshima na utulivu kote duniani.
- Nuclear Peace
Kinachotakiwa sasa hivi ni kila nchi iruhusiwe kumiliki silaha za nuclear kwa ajili ya ulinzi na hii inaeweza kueleweka vyema kupitia dhana za Mutually Assured Destruction(MAD) na rational deterrence.
Ni vigumu sana nchi yenye silaha za nuclear kuvamiwa, pia ni vigumu sana kwa nchi zenye silaha za nuclear kupigana vita kati yao hali itakayopelekea kuwa na "nuclear peace".
Nuclear ndio kila kitu karne hii, kila anayetaka aruhusiwe kuwa nazo ili kuleta heshima na utulivu kote duniani.
- Nuclear Peace