tunduma001
JF-Expert Member
- Jun 7, 2021
- 403
- 762
Hilo ni balaa, vipi kama zikianguka mikononi mwa al shabab,boko haram au is.Je dunia itaendelea kuwa salama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kila taifa likiwa nazo hakuna atakayethubutu kumgusa mwenzake.Nadhani hata Mataifa yenye nazo hayaoni faida yake! Maana wao wenyewe hawako tayari kujiangamiza!
Zile silaha wanazo ili kutishiana tu lakini siyo kuzitumia kupigana.
Wao hawakai sehemu moja wanaweza kutawanyikaHao waasi wa M23 na Haiti wakijua wengine pia wanazo hizo silaha tena nyingi na kubwa kuliko wao ni vigumu kwao kufanya chochote.
sio kweli, hizo ni ndoto za mchana kweupe.kila nchi ikiruhusiwa kumiliki nukes basi itakuwa rahisi kwa vikundi vya kigaidi kuzipata na kushambulia maasimu waoUwepo wa hizo silaha kila nchi utawafanya watu wa mataifa yote watumie nguvu zote kuyamaliza na kuyaangamiza hayo makundi.
Kabisa mkuu. Maana hata Russia alishawishi USA ufaransa na uingereza kumuomba ukraine angamize silaha zake za nyuklia na alipoziangamiza kavamiwaKila nchi ikiwa na nuclear za kutosha hakuna atakayemtwanga mwenzake.