Ibun Sirin
Member
- May 20, 2022
- 50
- 106
Ni kweli kwamba ndoto, maono na njozi huja mara nyingi katika hali ya mafumbo sana ambayo kibinadamu ni ngumu kuelewa, lakini kwa msaada wa Mungu aliyefunua hayo huandaa na tafsiri halisi kuyahusu maono hayo ama ndoto na njozi hizo.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.
Nina wakaribisha katika tafsiri za Ndoto.