Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Unajua hasaa kunitosha kidonda HajarHahahahaaaa. Lol.
Wanajiitaga wazee wa Samba mie nasema hamna cha samba wala nini zaidi ya kukimbia kimbia tu.
Atusamehe kwa kweli Team Brazil sababu nimechomelea msumari wa moto.
Hahahaaaa. Kabisaaaaa.Ngoja nikubaliane na wewe Hajar maana huu moyo huu! Kwakweli hua siulewagi saa zingine! Haya upe moyo wako ile kitu unapenda
Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...hongera mkuu
tena na huo mchezo wa neymar watapata taabu sanaa,,Hahahahaaaa. Lol.
Wanajiitaga wazee wa Samba mie nasema hamna cha samba wala nini zaidi ya kukimbia kimbia tu.
Atusamehe kwa kweli Team Brazil sababu nimechomelea msumari wa moto.
Nakumbuka sana hapa umenikumbushia tu.Nilikwambia Hajar mazoezi ni muhimu sana hasa kwa wanaume, kuzuia mihemko na kuongeza 'utendaji'
Pole jamaani Sesten pole eeee. Utapoa ndio Soka hilo.Unajua hasaa kunitosha kidonda Hajar
Congratulations mkuuTengeneza timetable ya wiki ... mfano mi huwa nafanya hivi ....
Jumatatu nafanya tahajudi alfajili ... jioni nafanya matembezi / kukimbia
Jumanne - mazoezi ya sehemu moja ..push-up alfajili - jioni matembezi / kukimbia
Jumatano tahajudi ... jioni tahajudi
Alhamisi mazoezi ya kuruka kamba asubuhi na jioni
Ijumaa mazoezi ya sehemu moja - jioni matembezi
Jumamosi ... napumzika
Jumapili ... napumzika.
Sikuwahi kunenepa ... niko kama kawaida .. uzito hauongezeki naumudu mwili wangu.
mkuu tahajudi ndo nn?Tengeneza timetable ya wiki ... mfano mi huwa nafanya hivi ....
Jumatatu nafanya tahajudi alfajili ... jioni nafanya matembezi / kukimbia
Jumanne - mazoezi ya sehemu moja ..push-up alfajili - jioni matembezi / kukimbia
Jumatano tahajudi ... jioni tahajudi
Alhamisi mazoezi ya kuruka kamba asubuhi na jioni
Ijumaa mazoezi ya sehemu moja - jioni matembezi
Jumamosi ... napumzika
Jumapili ... napumzika.
Sikuwahi kunenepa ... niko kama kawaida .. uzito hauongezeki naumudu mwili wangu.
mkuu amenipa ratiba nzuri,Congratulations mkuu
Na gharama yake ikalipwa kwa kuumizwa mioyo ya mashabiki wao waliotapaa kote duniani!siku ile hawakuwa na bahati, walicheza sana zile anao anao
Hahahaaa. Umejua kuwapanga aiseee. Kama juzi Neymar anakuja kuibuka dk zimeshakwisha.tena na huo mchezo wa neymar watapata taabu sanaa,,
neymar- ana style inaitwa "njoo nikuoneshe"
ronaldinho- ana style inaitwa "nakufata nakuonesha na nakuacha"
ronaldo de lima- ana style inaitwa "nizuie lakini napita"
hiyo ndo tofauti, brazil hii kazi mnayo
Duuh! Haya bana Mtani.Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...
RATIBA YANGU KWA SASA
•Asubuhi napiga push ups 100(25x4) kwa dakika 5 namaliza push ups 100,
Squats 50.
•Jioni push ups 100 kwa mfumo wa asubuhi na mazoezi ya tumbo.
Wanaume na mikoani hatuna mambo ya booster (Karaga, nazi na Mihogo) kwetu mihogo ni chakula.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwambie aangalie game ya leo, wote wana style ambazo ukichanganya utaona dk 90 ndogo sanaaaaHahahaaa. Umejua kuwapanga aiseee. Kama juzi Neymar anakuja kuibuka dk zimeshakwisha.
Nimezipenda sana hizo style zao kwa jinsi ulivyozichambua.
Sesten Zakazaka haya ona post no [HASHTAG]#285[/HASHTAG] uone Brazil yako na wachezaji wake jinsi 1kush africa alivyowachambua. Teh teh
Nitafata usia wako huu kwa ukamilifu kabisa HajarNakumbuka sana hapa umenikumbushia tu.
Haya Sesten we kuwa hivyo hivyo usiyaache bana sababu faida tayari unazijua.
siku ile sikuamini kabisa,, tatu bila,,Na gharama yake ikalipwa kwa kuumizwa mioyo ya mashabiki wao waliotapaa kote duniani!
Anadai World Cup kwake iliishia baada ya Brazil kupata kipigo cha mbwa koko. Hahahaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwambie aangalie game ya leo, wote wana style ambazo ukichanganya utaona dk 90 ndogo sanaaaa
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Nitafata usia wako huu kwa ukamilifu kabisa Hajar
hii ratiba naichukua huenda nikawa na 12 packs [emoji23]Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...
RATIBA YANGU KWA SASA
•Asubuhi napiga push ups 100(25x4) kwa dakika 5 namaliza push ups 100,
Squats 50.
•Jioni push ups 100 kwa mfumo wa asubuhi na mazoezi ya tumbo.
Wanaume na mikoani hatuna mambo ya booster (Karaga, nazi na Mihogo) kwetu mihogo ni chakula.
Leo kwangu kesho kwako lakini, walisema wahenga, tena maumivu yako nayajua yamelalia wapi ujue....wala sio huko kimataifaPole jamaani Sesten pole eeee. Utapoa ndio Soka hilo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]