Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

Kila nikianza mazoezi ya viungo baada ya wiki mbili au tatu naacha, nikijitahidi mwezi mmoja baadaye naacha

hongera mkuu
Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...
RATIBA YANGU KWA SASA
•Asubuhi napiga push ups 100(25x4) kwa dakika 5 namaliza push ups 100,
Squats 50.
•Jioni push ups 100 kwa mfumo wa asubuhi na mazoezi ya tumbo.




Wanaume na mikoani hatuna mambo ya booster (Karaga, nazi na Mihogo) kwetu mihogo ni chakula.
 
Hahahahaaaa. Lol.

Wanajiitaga wazee wa Samba mie nasema hamna cha samba wala nini zaidi ya kukimbia kimbia tu.

Atusamehe kwa kweli Team Brazil sababu nimechomelea msumari wa moto.
tena na huo mchezo wa neymar watapata taabu sanaa,,

neymar- ana style inaitwa "njoo nikuoneshe"

ronaldinho- ana style inaitwa "nakufata nakuonesha na nakuacha"

ronaldo de lima- ana style inaitwa "nizuie lakini napita"

hiyo ndo tofauti, brazil hii kazi mnayo
 
Tengeneza timetable ya wiki ... mfano mi huwa nafanya hivi ....
Jumatatu nafanya tahajudi alfajili ... jioni nafanya matembezi / kukimbia
Jumanne - mazoezi ya sehemu moja ..push-up alfajili - jioni matembezi / kukimbia
Jumatano tahajudi ... jioni tahajudi
Alhamisi mazoezi ya kuruka kamba asubuhi na jioni
Ijumaa mazoezi ya sehemu moja - jioni matembezi
Jumamosi ... napumzika
Jumapili ... napumzika.
Sikuwahi kunenepa ... niko kama kawaida .. uzito hauongezeki naumudu mwili wangu.
Congratulations mkuu
 
Tengeneza timetable ya wiki ... mfano mi huwa nafanya hivi ....
Jumatatu nafanya tahajudi alfajili ... jioni nafanya matembezi / kukimbia
Jumanne - mazoezi ya sehemu moja ..push-up alfajili - jioni matembezi / kukimbia
Jumatano tahajudi ... jioni tahajudi
Alhamisi mazoezi ya kuruka kamba asubuhi na jioni
Ijumaa mazoezi ya sehemu moja - jioni matembezi
Jumamosi ... napumzika
Jumapili ... napumzika.
Sikuwahi kunenepa ... niko kama kawaida .. uzito hauongezeki naumudu mwili wangu.
mkuu tahajudi ndo nn?
 
tena na huo mchezo wa neymar watapata taabu sanaa,,

neymar- ana style inaitwa "njoo nikuoneshe"

ronaldinho- ana style inaitwa "nakufata nakuonesha na nakuacha"

ronaldo de lima- ana style inaitwa "nizuie lakini napita"

hiyo ndo tofauti, brazil hii kazi mnayo
Hahahaaa. Umejua kuwapanga aiseee. Kama juzi Neymar anakuja kuibuka dk zimeshakwisha.

Nimezipenda sana hizo style zao kwa jinsi ulivyozichambua.

Sesten Zakazaka haya ona post no [HASHTAG]#285[/HASHTAG] uone Brazil yako na wachezaji wake jinsi 1kush africa alivyowachambua. Teh teh
 
Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...
RATIBA YANGU KWA SASA
•Asubuhi napiga push ups 100(25x4) kwa dakika 5 namaliza push ups 100,
Squats 50.
•Jioni push ups 100 kwa mfumo wa asubuhi na mazoezi ya tumbo.




Wanaume na mikoani hatuna mambo ya booster (Karaga, nazi na Mihogo) kwetu mihogo ni chakula.
Duuh! Haya bana Mtani.

Hivyo Mama Itengejha anaipata pata. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Umejua kuwapanga aiseee. Kama juzi Neymar anakuja kuibuka dk zimeshakwisha.

Nimezipenda sana hizo style zao kwa jinsi ulivyozichambua.

Sesten Zakazaka haya ona post no [HASHTAG]#285[/HASHTAG] uone Brazil yako na wachezaji wake jinsi 1kush africa alivyowachambua. Teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwambie aangalie game ya leo, wote wana style ambazo ukichanganya utaona dk 90 ndogo sanaaaa
 
Nilipiga mazoezi ya tumbo kwa miezi 3 nikawa na eight packs...
RATIBA YANGU KWA SASA
•Asubuhi napiga push ups 100(25x4) kwa dakika 5 namaliza push ups 100,
Squats 50.
•Jioni push ups 100 kwa mfumo wa asubuhi na mazoezi ya tumbo.




Wanaume na mikoani hatuna mambo ya booster (Karaga, nazi na Mihogo) kwetu mihogo ni chakula.
hii ratiba naichukua huenda nikawa na 12 packs [emoji23]
 
Back
Top Bottom