Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Vurugu zimepungua!!Acha utani mtoto mzuri tena!
dah, itabidi niingie na uwanjani nitafute njumu kabisa, maana jino 6 sijazoea kabisa naweza tegua enkaKwanza penda mazoezi, hili jambo na nia ya kufanya mazoezi itoke moyoni.
Fikiria matokeo ya mazoezi katika mwili wako, Fikiria mwili Unavyokuwa relaxed baada ya zoezi, Fikiria utakavyoweza kudhibiti adui yako, Fikiria Utakavyokuwa na sex body n.k
Fanya mazoezi siku inapoanza, asubuhi, ukiwa na nguvu zako.... Sio jioni, mwili ukiwa umechoka
Fanya mazoezi kwa mtindo wa mchezo (namna inayokufanya ufanye mazoezi huku unafurahia). Mfano kama ni mchezaji wa mpira, cheza mpira na hapo utakuwa Umefanya mazoezi ya kukimbia, kuruka, kunyosha viungo n.k
Best luck brother
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
tuanzee kwa bidiiiPoa poa 1kush
Huu ndo uchochezi sasa[emoji23] [emoji23]Mwanaume wa Dar![emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji53] [emoji53] [emoji53]Mwanaume wa Dar![emoji28][emoji28][emoji28]
akutake radhiAcha utani mtoto mzuri tena!
Mkuu kuna mtu ana chura namvizia[emoji23] [emoji23]Vurugu zimepungua!!
[emoji23] [emoji23]Vurugu zimepungua!!
Mkuu hiyo emoji ina haki miliki yangu peke yangu!![emoji53] [emoji53] [emoji53]
nani huyo huenda nikakuvutia hapo ulipoMkuu kuna mtu ana chura namvizia[emoji23] [emoji23]
[emoji53] [emoji53] [emoji53] hahahaMkuu hiyo emoji ina haki miliki yangu peke yangu!!
Ukipata huko wawili nipatie hapo mmoja please!![emoji23][emoji23]Mkuu kuna mtu ana chura namvizia[emoji23] [emoji23]
Hahahaha mmh! Anaitwa wamaukwelinani huyo huenda nikakuvutia hapo ulipo
Mis natafuta vipi humtaki na zigo lote lileUkipata huko wawili nipatie hapo mmoja please!![emoji23][emoji23]
kumbeeeeHahahaha mmh! Anaitwa wamaukweli
Mkuu huyo mtoto anaweza akafunga mtaakumbeeee
kumbeeee matata sanaaaaMkuu huyo mtoto anaweza akafunga mtaa
Unaijua hiyo idkumbeeee matata sanaaaa