Kila nikifikiria kifo cha Alphonce Mawazo Roho inakataa kabisa kuishi Bongo, bora nikimbie

Kila nikifikiria kifo cha Alphonce Mawazo Roho inakataa kabisa kuishi Bongo, bora nikimbie

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Huwa nawaza sana kuuawa kwa huyu mwamba halafu mbaya zaidi huzuni hii hunijia wakati unapigwa wimbo wa taifa kwamba Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wote. Yaani Mungu abariki wauwaji? Hakika baadhi ya vesi za kinafiki kwenye wimbo wa taifa ziondolewe.

Yote kwa yote mimi nafsi yangu imesamehe, ila haitasahau matukio yafuatayo ambayo moja kwa moja vyombo vya dola inabidi vihusishwe kwa maana matukio yote haya hakuna mrejesho wa upelelezi wowote uliofanyika;

. Kifo cha AC Mawazo.
. kupotea Kwa Azory Gwanda, nahisi wameshamuua tu.
. Kupotea kwa Benn Saanane, nahisi keshauawa tu.
. Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.

I am strong enough to let it go - Albart Mangwea 2013 Clouds FM.

1671497286100.jpg
 
Mkuu

Niliwahi kuandika kwa I'd nyingine,

MADHARA YA CHAMA KIMOJA KUKAA MADARAKANI KWA MUDA MREFU NI HAYA,WENYE MAMLAKA CHUKUENI HATUA.

WATU ni wathamani kuliko ITIKADI za vyama vyao,kwanini wauane kisa ITIKADI za vyama!!?

Wameacha cha kimejihakikishia Madaraka KWA Muda mrefu,lazima WATU wauane tu kama Hivyo!!

Nenda ka type HIYO title usome!!
 
Wahusika wanakusikia, wengine walishakufa kwa maumivu ya moyo sababu ya hatia, waliobaki still nao wanateketea ndani kwa ndani kwa maumivu ya damu isiyo na hatia, mfano wale madereva waliowafata wapelekwe kutolewa kafara
 
Msukuma aliyepata utajiri kwa njia haramu ya uporaji na utekaji wa mabasi miaka ya 90 ndiye aliyempumzisha kwa amani huyu mshikaji.
Mungu anamuona!
 
Mkuu

Niliwahi kuandika kwa I'd nyingine,

MADHARA YA CHAMA KIMOJA KUKAA MADARAKANI KWA MUDA MREFU NI HAYA,WENYE MAMLAKA CHUKUENI HATUA.

WATU ni wathamani kuliko ITIKADI za vyama vyao,kwanini wauane kisa ITIKADI za vyama!!?

Wameacha cha kimejihakikishia Madaraka KWA Muda mrefu,lazima WATU wauane tu kama Hivyo!!

Nenda ka type HIYO title usome!!
Mkuu no 1 ajaye nchini una ID ngapi? Tukupendekeze mchangiaji bora jukwaa la siasa?
 
Huwa nawaza sana kuuawa kwa huyu mwamba halafu mbaya zaidi huzuni hii hunijia wakati unapigwa wimbo wa taifa kwamba Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wote. Yaani Mungu abariki wauwaji? Hakika baadhi ya vesi za kinafiki kwenye wimbo wa taifa ziondolewe.

Yote kwa yote mimi nafsi yangu imesamehe, ila haitasahau matukio yafuatayo ambayo moja kwa moja vyombo vya dola inabidi vihusishwe kwa maana matukio yote haya hakuna mrejesho wa upelelezi wowote uliofanyika;

. Kifo cha AC Mawazo.
. kupotea Kwa Azory Gwanda, nahisi wameshamuua tu.
. Kupotea kwa Benn Saanane, nahisi keshauawa tu.
. Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.

I am strong enough to let it go - Albart Mangwea 2013 Clouds FM.

View attachment 2452281
Ila kweli CCM ni genge la kigaidi
 
Back
Top Bottom