NothinGold
Member
- Nov 2, 2019
- 56
- 216
- Thread starter
-
- #101
Mwanamke huwa hasamei akikubamba na sms/whatsapp au akikufumania live. Niliwahi kukutwa na kondomu 2004 mfuko wa suruali tukiwa wachumba mpaka leo (November 2019) anakumbushia.
KweliNingefanya kama wew,pengne zaidi yako!!hata yule jamaa aliotumia gunia 2 kumchoma mkewe nina hakika ana story ndefu sana ambayo inabidi kwanza tuisikie...hawa viumbe sio wenzetu
Mwanamke anatunza kumbukumbu mbaya miaka yote ndo maana huwa sikiri kosa langu mbele yake hata iweje maana ukikiri ndo passport ya kukumbushia for the rest of your lifeSawa Mkuu kama alikuwa hajasamehe angeendelea na maisha yake na kuniacha na wanangu Sasa kisa cha kuuza vitu vyangu nn, kuna uhusiano gani kati ya kusamehe na kuuza vitu?
Uneacha pointi muhimu sana. Umesema sababu kuu ni kukuta sms ya mchepuko wako, lakini nadhani kuna sababu zaidi ya hiyo. Hiyo sms ilikuwa sehemu ya kutokea tu. Naamini alikuwa na mtu (mchepuko) ukiomwingiza chaka.
Naomba kama unajua, sababu halisi ya kukutelekeza.
Bazazi!
Tatizo lilikuwa ni wewe Kuomba msamaha tena mbele ya Mama yake.Hapo walikuona lofaMkuu hakuna sababu nyingine, migingano ilianza baada ya hyo sms, akaenda kwao nikamfuta nikamuomba msamaha mbele ya mama yake yakaisha.
Labda marafiki walimponza maana kuna baadhi ya marafiki ambao nilikuwa namuonya sana aachane nao. Ila baada ya kuuza vitu kwa taarifa zisizo rasmi ndo alikuwa anaambatana nao ila baadae wakja kukorofishana sana, sijui ni baada ya hela aliyouza vitu kutisha , sijui
Naomba kuuliza Mkuu.. Huyo Mtoto Mdogo ameshatembea tayari?Asante kwa Ushauri Mkuu, ila ni ngumu sana yaani, sijaandika yote hii ni kwa ufupi tu, ila nitufanyia Kazi Ushauri Wako, asante kwa Mara nyingine
Naomba kuuliza Mkuu.. Huyo Mtoto Mdogo ameshatembea tayari?
Tatizo lilikuwa ni wewe Kuomba msamaha tena mbele ya Mama yake.Hapo walikuona lofa
Vizuri.. Mungu akupe Maisha Marefu ulee watoto wako.. Achana kabisa na huyo Mwanamke.. Ni Mwanamke Mwenzangu ila kwa hilo alilolifanya ni Tukio la Kikatili sana.Yeah alitembea miezi miwili baada ya kumchukua, yupo pre-unit kwa sasa, but he is too emotional
Nyie mlikuwa mnapiga huku mnachat whatsapp. One Mama Chibu alivyotulizwa na unemployed Ankali. Wanawake wanataka pumzi sio kugusa gusa
Vizuri.. Mungu akupe Maisha Marefu ulee watoto wako.. Achana kabisa na huyo Mwanamke.. Ni Mwanamke Mwenzangu ila kwa hilo alilolifanya ni Tukio la Kikatili sana.
Kwenye maelezo yako nimeona unasema unaweza kuonekana wewe ni mkatili" nikutoe hofu tu wewe sio mkatili. Msamehe tu huyo mwanamke ila usijishughulishe na mambo yake
Haogopi nitamvisha kanga kama MO?
Nimeishia hapo kwny umemkaribisha demu chumbani akangangania 🙄
Ulileta shobo ukweni ukadhan utapata sifa. Pengine hata baba mkwe alikufa kwa stress za mkewe. Ww ndo ukajidai Don.Utamalizia badae nadhani, hahahahaaa