NothinGold
Member
- Nov 2, 2019
- 56
- 216
- Thread starter
- #101
Mwanamke huwa hasamei akikubamba na sms/whatsapp au akikufumania live. Niliwahi kukutwa na kondomu 2004 mfuko wa suruali tukiwa wachumba mpaka leo (November 2019) anakumbushia.
Sawa Mkuu kama alikuwa hajasamehe angeendelea na maisha yake na kuniacha na wanangu Sasa kisa cha kuuza vitu vyangu nn, kuna uhusiano gani kati ya kusamehe na kuuza vitu?