Kila nikikumbuka kuwa nilisema "Sitafanya kazi chini ya laki 3" baada ya kumaliza University

Kila nikikumbuka kuwa nilisema "Sitafanya kazi chini ya laki 3" baada ya kumaliza University

Yes anabidi kutazama momentum na sio speed

Ila kitendo chakutoka chuo na kutaka 300k means jamaa anajichukulia powah Sana at least angesema 1M

Unajua most of the time you become what. You think.

Asjichukilie powah ni bora aseme ntafanya kazi Ila asjiwekee viwango vidogo.
Muda huu sio wa kuthamin cha kwake kutoka darasani. Aokoe jahazi kwanza ili asiwe tegemezi.. muda wa kukir kwamba analipwa kidogo haujafika mana huko kazinj atapimwa hata kwa communication skills, interaction na ujinga ujinga ambao haukuwepo kabisa darasan kama sehem ya elimu kwaa professiona yake

Unajua mfumo unazalisha watalam wengi alaf hauna pa kuwapeleka. So automatic unawawakom-veti kuwa wafanyakaz wa bei rahisi mana akikataa yeye wenzie wanafanya yeye anakaa mtaani. Hii ndo shida ya survival of the fittest
 
Familia zinatofautiana lamomy. Mm familia yangu hata nilipo sahiv haijui. Mana kuna familia ukileta mipango ya maendeleo huioni na pengine ukafeli kabisa.

Wanandug zang waliopat kazi serikalin hawajawahi kusema, unasikia tu kapata kazi kaenda kuripoti. Tangaza unachotaka kufanya uone. "Ukifanikisha nite jina lolote niko pale"

Kuna familia hata ukitaka kwenda mjini huagi, jambo la kimaendeleo halitangazwi hata kununua friji tu. Yani huko ukitema nchale, ukimeza nchale.. ukikaa vibaya unakula chuma ulale na njaa.. hizi zinaitwq Advanced marginalised communities
Daqah
Ndio maana zinachelewa, ukoo mzima advanced ni mtu mwenye cheti cha ualimu serikalini
Itabidi tujifunze kwa jamatini
 
Unamtumia tena Jamaa CV anakufanyia hivi ???

Ukifika hatua hio nenda ujichange ununue hata mashine ya kutengeneza juice ya miwa uanze kuuza mtaani
 
Back
Top Bottom