mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi sijambo nasoma wananzengo mlivo na hasira na maishaKipindi anakula yamini y hili kuwa sio wa bei ndogo asiwe tegemez kwa watu wengine. Mpaji Mungu hujambo?
Usisem hivyo mkuu hasira zitaongezeka!Mkuu mi sijambo nasoma wananzengo mlivo na hasira na maisha
Umezungumzia kuhusu ndumba that is real ?Usisem hivyo mkuu hasira zitaongezeka!
Umefanikiwa kuomba nafasi wazi za ualimu lakini kijanaz?Sasa hivi natamani nipate ata kazi ambayo nitalipwa ata laki na nusu ila sipati
Kweli MAISHA yana ramani na aliyemchorea masikini pen ili mgomea njiani
Napata makapi vinono navitamani
View attachment 3051725
Uchawi upo mkuu, na nilikuwa nasoma kitab flani hiv experience ya South Africa jamaa anaargue kuwa umefungana sana na dhana ya HUSDA (envy), husda sio jealousy. Husda ni kijicho yani ulichonacho ukikose hata kama yule anyetaka ukose hawez kukipataUmezungumzia kuhusu ndumba that is real ?
Ukitangaza unafukuzia mchongo basi huo mchongo haufanikiwi.
Upo aggressive sana na maisha mzee, relax mambo yatajipa tuUsisem hivyo mkuu hasira zitaongezeka!
DuaUpo aggressive sana na maisha mzee, relax mambo yatajipa tu
Maisha kupanda na kushuka .
Ni kweli ila elimu yao wengi inabaki kwenye kabati, kazi zimekuwa za shida .Hapana mkuu....hata waliosoma Sasa ni wasomi pia
Maisha hayataki usiriaz.. madalali masta digrii.. mawinga kariakoo diploma na digirii 🤣🤭Upo aggressive sana na maisha mzee, relax mambo yatajipa tu
Uwinga mgumu,Maisha hayataki usiriaz.. madalali masta digrii.. mawinga kariakoo diploma na digirii 🤣🤭
Yatapita, sisi wenyewe wakati tunakaribia kumaliza tulikuwa tumekaa tunajisema. Nakumbuka nikasema bila milioni 3 mimi sifanyi kazi. Baada ya hapo sasa....Sasa hivi natamani nipate ata kazi ambayo nitalipwa ata laki na nusu ila sipati
Kweli MAISHA yana ramani na aliyemchorea masikini pen ili mgomea njiani
Napata makapi vinono navitamani
View attachment 3051725