Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kasababisha uwepo wa vilaza wengi bungeniKwa mwenendo wa nchi yetu ulivyo sasa.
Itoshe tu kusema,endelea kupumzika kwa amani mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli.
Imefikia mahali mpaka watesi wako wanakumiss huku duniani.
Alikuwa na PhD fake akawafurusha vyeti feki wenzieKwa mwenendo wa nchi yetu ulivyo sasa.
Itoshe tu kusema,endelea kupumzika kwa amani mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli.
Imefikia mahali mpaka watesi wako wanakumiss huku duniani.
Shetani mkubwa huyo ndo katuachia legacy ya kusanyiko la hovyo kabisa kule Dodoma.Kwa mwenendo wa nchi yetu ulivyo sasa.
Itoshe tu kusema,endelea kupumzika kwa amani mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli.
Imefikia mahali mpaka watesi wako wanakumiss huku duniani.
Yeye ndiye kinara waoVyeti fake hawezi muelewa wala kupiga goti
Hata mimi naona ndio mapungufu yake ila haiondoi mazuri mengi mwenda zake ako nayoYeye ndio aliyetuachia bunge la ndio mzee kwahiyo hilo nalo piga got umshukuru Mungu
majiz ya kura na mliopitishwa bila kupingwa lazima mpige magoti.Vyeti fake hawezi muelewa wala kupiga goti
Tatizo la Magufuli, alijua atadumu miaka 10 na kuendelea, ndo maana akatuwekea bunge la ndiyo mzee.Mimi binafsi ninamlaumu sana.Kwa mwenendo wa nchi yetu ulivyo sasa.
Itoshe tu kusema,endelea kupumzika kwa amani mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli.
Imefikia mahali mpaka watesi wako wanakumiss huku duniani.
View attachment 2666963