Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika analewa na malaya bar, na nyumbani anaacha dagaa?Mkeo yupo sawa. Wewe unalewa na malaya bar wakati umeacha nyumbani dagaa na dona.
Angekuibia na mbupu kabisa ili akili ikae sawa.
Nikimtegea nimeelewa Kumbe sijalewa,alivyoanza kuserch mifukoni nikadaka mkono,alitetemeka balaa!Nikampa bonge la kofi .Hii tabia ya mke wangu ya kunisearch na kuchukua pesa zangu kila nikilewa inaniumiza sana!
Na kila nikimuuliza anaruka mita Mia! Kwa ambaye alishawahi kutana na hii kadhia aliisolve vipi wakuu.
Your Sincerely,
Gwego.
We acha hizo!Vizuri sana huyo shemeji yetu apewe maua yake... Tena angekua shemale ningependelea akushughulikie vizuri
Hata usipolewa Wana search!kUna jamaa nilikuwa namdai laki moja,tukaenda bar,wakat wa kurudi ile kanifikisha nyumban akanipa ile laki
Kesho yake naamka kuna 60,000 mfukoni
Kwa akili yake alijua akichukua sitaweza fahamu
Baadhi ya mabro walioko kwenye ndoa muda mrefu wanakwambia wanawake wengi wana hii tabia
Wewe kwanini ulewe hadi usachiweWe acha hizo!
NAKAZIA.Fuata hatua hizi...
1. Weka Pesa zote kwenye Account ya simu
2. Tufuta Bar yenye lipa Namba.
3. Kunywa mpaka utakapolewa.
4. Chukua simu yako kisha Lipa Bill.
5. Rudi nyumbani
Wanasearch tuu hata usipolewa!Wewe kwanini ulewe hadi usachiwe
Mpaka mke afikie hatua ya kukusachi ina maana huachi kitu home. Kama unaacha pakiwa fresh hela yako hata ukisahau kwenye nguo utaikutaUna uhakika analewa na malaya bar, na nyumbani anaacha dagaa?
Sio kweli. Wanawake majambazi wapo.Mpaka mke afikie hatua ya kukusachi ina maana huachi kitu home.
Shida ya walevi wanatafuta bar zenye wamwari wazuri!atoke cash aonekaneFuata hatua hizi...
1. Weka Pesa zote kwenye Account ya simu
2. Tufuta Bar yenye lipa Namba.
3. Kunywa mpaka utakapolewa.
4. Chukua simu yako kisha Lipa Bill.
5. Rudi nyumbani
Umeoa mwizi na bado atakuliza sana.Hii tabia ya mke wangu ya kunisearch na kuchukua pesa zangu kila nikilewa inaniumiza sana!
Na kila nikimuuliza anaruka mita Mia! Kwa ambaye alishawahi kutana na hii kadhia aliisolve vipi wakuu.
Your Sincerely,
Gwego.
Labda kama ni ephen_ maana ni mjanja mjanjaSio kweli. Wanawake majambazi wapo.
Thubutu yake,hela unaacha nasearch upo!Mpaka mke afikie hatua ya kukusachi ina maana huachi kitu home. Kama unaacha pakiwa fresh hela yako hata ukisahau kwenye nguo utaikuta