Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Mwanaume unasema 'kwendra'🤔Kwendraa, unaringaa
Kwani ni nini?Dah! Mwanaume unasema 'kwendra'🤔
Tumia 'kwenda' ukisema 'kwendra' unatupa mashaka🥲Kwani ni nini?
Jipe mashaka ila ukitaka ku prove niko paleeee nimekaaTumia 'kwenda' ukisema 'kwendra' unatupa mashaka🥲
Acha matusi mekuJipe mashaka ila ukitaka ku prove niko paleeee nimekaa
atakuwa anaona kuliko wakusachi mabaamed bora na yeye asachi tu.Hii tabia ya mke wangu ya kunisearch na kuchukua pesa zangu kila nikilewa inaniumiza sana!
Na kila nikimuuliza anaruka mita Mia! Kwa ambaye alishawahi kutana na hii kadhia aliisolve vipi wakuu.
Your Sincerely,
Gwego.
Kiruu, nimetukana wapi manka?Acha matusi meku
Kwani unadhani sijui methali, nahau na mafumbo?Kiruu, nimetukana wapi manka?
Wewe ndio umeanzisha, kwanini lakini?Kwani unadhani sijui methali, nahau na mafumbo?
Ahh Asante sana mkuuFuata hatua hizi...
1. Weka Pesa zote kwenye Account ya simu
2. Tufuta Bar yenye lipa Namba.
3. Kunywa mpaka utakapolewa.
4. Chukua simu yako kisha Lipa Bill.
5. Rudi nyumbani
DagMkeo yupo sawa. Wewe unalewa na malaya bar wakati umeacha nyumbani dagaa na dona.
Angekuibia na mbupu kabisa ili akili ikae sawa.
Kuacha ni ngum watu wa kagera pombe tumeabza tukiwa watoto! Ngara hukoKabla hujaenda kulewa mkabidhi hela na ubaki na za kulewea tu
Sina uzoefu na ulevi ila sio jambo jema
Kama unaweza acha kabisa
🙈🙈🙈Za mume haziibiwi bana, zinahamishwa tu..
Mkuu kuiacha ni maamuzi yako tu na wala sio lazima unywe kisa umezaliwa nayoKuacha ni ngum watu wa kagera pombe tumeabza tukiwa watoto! Ngara huko