Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Hello hello watu wangu wa nguvu mambo vipiiiii...ππ
Natumai mko salama sana na mnaendelea vizuuuriii kabisa π§ββοΈπ§βπ§ββοΈ.
Nirudi kwenye kichwa cha habari sasaππ..
Aise wakuu bhana kila nikinywa kilevi chochote hata kama ni kidogo kiwe ni cha moto(room temperature)au cha baridi basi kesho yake ni lazima nipate mafua makali mnooooo Mpka naogopa mjueππ
Nimevumilia kwa muda lkni wapi.mwenye aliyekuwa na hali kama hii na akapata kupona naombeni mniambukize huo upako wa tiba jamaniβΉοΈβΉοΈ
Hazard CFC brother wa nyumbani kabisa naomba unitafutie mitishamba hii hali inanitishia ujue aiseh ππ
Na wengine woooooootee.
Kama uko karibu,,niko na juice ya mango mixed passion hapa karibuni sana wapendwa katika bwana π₯π₯
Uzi tayari π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ
Natumai mko salama sana na mnaendelea vizuuuriii kabisa π§ββοΈπ§βπ§ββοΈ.
Nirudi kwenye kichwa cha habari sasaππ..
Aise wakuu bhana kila nikinywa kilevi chochote hata kama ni kidogo kiwe ni cha moto(room temperature)au cha baridi basi kesho yake ni lazima nipate mafua makali mnooooo Mpka naogopa mjueππ
Nimevumilia kwa muda lkni wapi.mwenye aliyekuwa na hali kama hii na akapata kupona naombeni mniambukize huo upako wa tiba jamaniβΉοΈβΉοΈ
Hazard CFC brother wa nyumbani kabisa naomba unitafutie mitishamba hii hali inanitishia ujue aiseh ππ
Na wengine woooooootee.
Kama uko karibu,,niko na juice ya mango mixed passion hapa karibuni sana wapendwa katika bwana π₯π₯
Uzi tayari π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ