zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,483
- 1,705
Ndio HOVYO NIMEPIGA Jana na mafuaWeeee usiniambie
Nyagi sirudii hapa na vant vantiniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio HOVYO NIMEPIGA Jana na mafuaWeeee usiniambie
Unatumia rough rider lakini??angalia usije ukakata moto we msukumaBora wewe ukinywa kilevi unaamka na mafua
Mimi nikinywa serengeti Premium Lite ya baridi yaani huwa napitiwa na shetani mno
Nijitahidi kupunguza au kuacha kabisa ila wapi....
Akija Saint Anne kukushushia maombi naomba na mimi anikumbuke katika maombi yake nirudi kundini maana nitapotea na wakunirudisha kundini sioni/simuoni.
Kama Jana we acha tu tuliupokea kwa mbwembwe kweli Nina asilimia mia zote utaitwa shangazi maana alikuwa ananibinukia huyo kweli mwaka mpya na mambo mapya nimeyaona jana..😂Nakwambiaaje akianza kula udongo kama nyoka usije ukamtimua ..
Hapana huwa situmii hizo mambo mkuu....Unatumia rough rider lakini??angalia usije ukakata moto we msukuma
Endelea kutumia rimu tu usijali sawa ee..Hapana huwa situmii hizo mambo mkuu....
Napenda sana kutembela limu hasa nyakati za usiku[emoji1]
Wewe ni mafua tu kuamka nayo au kuna vingine huwa unajikuta vimetokea pindi ukiwa umetumia kinywaji chenye kilevi/umelewa?
We nae Unapenda udaku sikuwa Mimi hata hivyo ilikuwa ni safari lager! Ila alinipa ushirikiano wa kutosha maana nilikuwa Hadi naisikia akiifinyia kwa ndani! Halafu uno feni nilianza mpk kunena kwa lugha! Huyu beki tatu mtamu walahi..😋Usiniambie kaka kwahiyo jana blaza ulipiga game
Wacha bhana..usiniambie.....😅😅🤛🤛🤛🤛🤛🤛🤛We nae Unapenda udaku sikuwa Mimi hata hivyo ilikuwa ni safari lager! Ila alinipa ushirikiano wa kutosha maana nilikuwa Hadi naisikia akiifinyia kwa ndani! Halafu uno feni nilianza mpk kunena kwa lugha! Huyu beki tatu mtamu walahi..😋
Safari lager hoyeeee...😂
ipo dawa ukitaka usiamke na mafua hakikisha kabla ya kulala ukitoka ulabuni tafuna tangawizi kipande utanipa majibu mambo ya kufungua makanisa tuwaachie akina St anneTutafungua wote bill..niache ulabu 😅
Hapo sasa umeongea bill.🤛🤛🤛ipo dawa ukitaka usiamke na mafua hakikisha kabla ya kulala ukitoka ulabuni tafuna tangawizi kipande utanipa majibu mambo ya kufungua makanisa tuwaachie akina St anne
Faili Oyeeeee!!Endelea kutumia rimu tu usijali sawa ee..
Kwahiyo kwa madai yako unaweza ukanichunguza ukanipata[emoji38][emoji38][emoji38]subiri hapo hapo msukuma nakuletea faili langu