T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
ShunieBabe chama la wana halikutaki
Unatakiwa uokoke uko tuachie sie tupambane tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShunieBabe chama la wana halikutaki
Unatakiwa uokoke uko tuachie sie tupambane tu
Ulishaona mtu anaacha kufanya kitu kilichomleta duniani..🤣Si uache pombe mkuu
Wacha niende na water huku nimekula mema ya nchiAngalia usije enda na water we msukuma
tar 28 mkuu andaa Koo vizuri shoo inaanzia ruddys farm kula mdudu wa kuchoma then tunaruka whitesands pale kwa subash Patel then tunaruka elements kidimbwi hatuendi pana ushamba mwingiHapo sasa umeongea bill.🤛🤛🤛
Lini unaibuka kipande hii we mtu tufanye maajabu
Hahaha huu mfano umeleta wengi sana duniani [emoji23][emoji23] kuna ukweli ila sijui kwa mleta madaUlishaona mtu anaacha kufanya kitu kilichomleta duniani..[emoji1787]
Dada ni mfano tu usichukie..[emoji125]
Imeisha hiyooooo....nitamwambia girlfriend wangu pia loh...itabidi tufanye kitu kwa ajili yako...ulipotoka ni mbali haki tena..tar 28 mkuu andaa Koo vizuri shoo inaanzia ruddys farm kula mdudu wa kuchoma then tunaruka whitesands pale kwa subash Patel then tunaruka elements kidimbwi hatuendi pana ushamba mwingi
Babe usitoke chama la wana bado tunakuhitaji pambana hivyohivyoKwahiyo babe na wewe usiniambie unaniungia kwa mbele sio[emoji28][emoji28][emoji28]
So sad [emoji2957]
Abeeeh ELY
Habari ya uzima mpendwaAbeeeh ELY
Kwani si tushakula mahari zako Kama tano leta na hiyo ya sita mi nipo tu..😂😆😆😆😆kaka unaniua ujue unanikosesha mchumba hakyamama kwenye kikao cha mahari nakupiga chini
Hahaha....Weeee usiniambie aiseh [emoji38][emoji38][emoji38]
Haki kaka mchawi wewe mbona unaua sana.Kwani si tushakula mahari zako Kama tano leta na hiyo ya sita mi nipo tu..😂