Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Hapo sasa umeongea bill.πŸ€›πŸ€›πŸ€›
Lini unaibuka kipande hii we mtu tufanye maajabu
tar 28 mkuu andaa Koo vizuri shoo inaanzia ruddys farm kula mdudu wa kuchoma then tunaruka whitesands pale kwa subash Patel then tunaruka elements kidimbwi hatuendi pana ushamba mwingi
 
Ulishaona mtu anaacha kufanya kitu kilichomleta duniani..[emoji1787]

Dada ni mfano tu usichukie..[emoji125]
Hahaha huu mfano umeleta wengi sana duniani [emoji23][emoji23] kuna ukweli ila sijui kwa mleta mada
 
tar 28 mkuu andaa Koo vizuri shoo inaanzia ruddys farm kula mdudu wa kuchoma then tunaruka whitesands pale kwa subash Patel then tunaruka elements kidimbwi hatuendi pana ushamba mwingi
Imeisha hiyooooo....nitamwambia girlfriend wangu pia loh...itabidi tufanye kitu kwa ajili yako...ulipotoka ni mbali haki tena..

Tunakusubiri kwa hamu ujue
 
Ulishaona mtu anaacha kufanya kitu kilichomleta duniani..🀣

Dada ni mfano tu usichukie..πŸƒ
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†kaka unaniua ujue unanikosesha mchumba hakyamama kwenye kikao cha mahari nakupiga chini
 
Mie nilijua unashindwa kuamka kumbe mafua tuu
Endelea mkuu, mafua yenyewe yataona wewe jeuri yatakoma kuja
 
Kwani si tushakula mahari zako Kama tano leta na hiyo ya sita mi nipo tu..πŸ˜‚
Haki kaka mchawi wewe mbona unaua sana.

Huyu wa sasa a anavuruga firigisi,kongosho,bandama,Utumbo,ini nyongo zangu kwa pamoja.nimeamuanistik na huyu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…chizi kabisa ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…