π π Tuendelee kutumia pilton tuuπππkitu cha dry konki sana
[emoji8][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wacha bhana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]haki we hufai mama yangu mwanamke tena
Unaonaje tukiungana kwa pamoja tufanye maombi usiku wa manane ya kunena kwa lugha ili tuache pombeAu nifanye mwisho ni kuanzia tarehe 10 [emoji23][emoji23] kuacha kitu kazi sana nilijisemea huu mwaka 2021 sinywi tena tarehe 1 ikapita, tarehe 2 jana uvumilivu ukanishinda kiu kikali sana. Ukifanikiwa kuacha nipe mbinu ulizotumia
Unaonaje tukiungana kwa pamoja tufanye maombi usiku wa manane ya kunena kwa lugha ili tuache pombe
Kwako.imekaaje hiyo
Ni sisi Na malaika wa mbinguni katikati yetu[emoji23][emoji23]
Najaribu kuitafuta picha namna tutakavyokuwa tusifu na kuabudu sipati picha[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]umenishinda kwa tabia tayari [emoji1][emoji1][emoji1]
Unapitiwa na shetani kwa mbele au kwa nyuma?Bora wewe ukinywa kilevi unaamka na mafua
Mimi nikinywa serengeti Premium Lite ya baridi yaani huwa napitiwa na shetani mno
Nijitahidi kupunguza au kuacha kabisa ila wapi....
Akija Saint Anne kukushushia maombi naomba na mimi anikumbuke katika maombi yake nirudi kundini maana nitapotea na wakunirudisha kundini sioni/simuoni.