Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]haki we hufai mama yangu mwanamke tena

Au nifanye mwisho ni kuanzia tarehe 10 [emoji23][emoji23] kuacha kitu kazi sana nilijisemea huu mwaka 2021 sinywi tena tarehe 1 ikapita, tarehe 2 jana uvumilivu ukanishinda kiu kikali sana. Ukifanikiwa kuacha nipe mbinu ulizotumia
 
Au nifanye mwisho ni kuanzia tarehe 10 [emoji23][emoji23] kuacha kitu kazi sana nilijisemea huu mwaka 2021 sinywi tena tarehe 1 ikapita, tarehe 2 jana uvumilivu ukanishinda kiu kikali sana. Ukifanikiwa kuacha nipe mbinu ulizotumia
Unaonaje tukiungana kwa pamoja tufanye maombi usiku wa manane ya kunena kwa lugha ili tuache pombe
 
Najaribu kuitafuta picha namna tutakavyokuwa tusifu na kuabudu sipati picha[emoji23][emoji23][emoji23]

Usitafute picha hutoipata [emoji276] tutekeleze tu huo mpango wa Mungu wakutukutanisha hata video utaipata
 
Kitabia hatushindwani [emoji23] tunaunganika ili tuishinde tabia moja inayotukabili
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kwahiyo tukiungana kwa pamoja tunampiga chini Mr Devo sioπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unapitiwa na shetani kwa mbele au kwa nyuma?
 
Utakuwa unakunywa maji mengi pia baada ya pombe.Ukinywa kidogo pia ni shida[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…