Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Nae si anapenda! Niliingia kwa spidi sana mpk nikamgonga na yeye! Hichi kidada Cha kazi mlikitolea wapi mbona kitamu hivi walai..😋
Mpk sahivi Bado nipo chumbani kwake! Mi nakaoa dada.
Tulikatolea kwako kaka.
Tulikatia sukari kwa ndani.oa kaka Huyu ni waifu matirio
 
Eheee nalewa juisi.
We katika tu.unaweza kuta hata pombe sinywi loh😁😁
Tatizo unachukuliaga utani kutokana na member wengi kukusifia kwaiyo hata sifa zangu unachukulia zile zile..MIMI NAKUFEEL KINOMA, don't take it easy Chakorii
 
Tatizo unachukuliaga utani kutokana na member wengi kukusifia kwaiyo hata sifa zangu unachukulia zile zile..MIMI NAKUFEEL KINOMA, don't take it easy Chakorii
Maskini jamani..mbona kama mwandiko wako unataka kunishawishi mimi jaman😁😁...

Mi najua unanipenda mkuu kumbe unanifeel...basi furesh kizazi sana.😘😘😘😘
 
Naomba nije PRIVATE MESSAGE (PM) Kama hautojali
Maskini jamani..mbona kama mwandiko wako unataka kunishawishi mimi jaman😁😁...

Mi najua unanipenda mkuu kumbe unanifeel...basi furesh kizazi sana.😘😘😘😘
 
Back
Top Bottom