Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Ukawe houseboy kwa Hellen ? Hata hiyo nyumba anayo ? Huyo unazama DM huko instagram mnamalizanaWatu tunatofautiana, wengine tunawaza hata tuwe mahouseboy huku wengine wanadatishwa na makwokwoo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyu Mtoto waki samburu yupo sawa lakini pia Cate ni Moto pia.Our County's Women Rep is taken [emoji23] labda humu Ann Wanjiku Kibe amaView attachment 1203019NaisulaView attachment 1203016
Bora umekimbia, nimesha beba panga, shoka, mkuki, mishale, rungu na gobole (yani hapa nipo kama baba ubaya) kukusaka wewe.View attachment 1203011
Duh! Hana kiuno ana nini? Yeye huvaa dera ndio maana unaona Hana kiuno , lakini yeye ni V8 kama umezoea premio sizani kama utamueza.Aisha Jumwa.
Tatizo hana kiuno
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fupi nono Round
Nampenda sana huyu mazeri hadi huwa namuota, ukikuta diary yangu daily nimemuandika charity yaani. Navutiwa nae sana bila sababu tu!Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu
Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani
Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo
Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu
Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu
Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani
Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo
Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu
Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Anaeumia ni mimi kaka yake hapa. Tafadhali naomba umuache maana roho inaniuma sana mnavyomsema dada yangu.View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu
Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
Huyo nang'oa kwa ngapi bahariaUkawe houseboy kwa Hellen ? Hata hiyo nyumba anayo ? Huyo unazama DM huko instagram mnamalizana
Haha Hawa MPs wa Kenya akina Cheruiyot wanamezea hayo makalio mate.Mtoto Sabina Chegge lazima nimfate Nairobi nipige!
Lazima apigwe tu hamna namna!
View attachment 1202784
Bwana yake aliaga miaka kadhaa zilizopita. Kuna picha lake kwenye gazeti niliona akiwa amekaa chini na sketi kwa bahati mzuri ikaja juu nikaona paja laini nyororo paja ambayo sijawahi kusahau hadi leo.Sijui watoto wake wa Kike kama anao vitakuwa ni visu kwelikweli.
Ila kama kama ni Single mother mimi niko tayati tumalize nae kilometa zilizobakia
Yaani ulijua hadi hili? Kwani Unafuatilia mambo ya KE kwa undani kivipi?Halafu anapenda vijana ashakutwa na scandal ya kukutwa parking lot na bwamdogo in a compromising situation!
Mmh binti kanyauka Sana aiseeKama dada yako anafanana hivyo basi wewe utakuwa unafanana hivi.
View attachment 1203505
Pole kwa hasira
View attachment 1203509
Yaani Photo copy
[emoji3][emoji3][emoji3] lengo langu kufikisha ujumbe nashukuru umefika bila ya kukutukanaShukurani zangu zikuendee wewe kaka yangu PUNGU ONE