Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe achana na bibi wa kizungu, utakuja nishukuru baadaeMkuu nakushauri utemane na wazo la kumiliki Gari kwa sasa hivi. Hata ukifikisha iyo m10 ukanunua bado itakuwia vigumu kwako kwenye uendeshaji.
Jipange kwanza vizuri. Ila ushauri wangu siyo lazima uufwate huko huru kuamua upendavyo.
Mbona umetembea mulemule? Maana yake huna uwezo wa kusevu 10m.Suala sio kua na 10m, buli kua na 10m ambayo ikitoka maisha mengine yataendelea bila tatizo, elewa hivyo
Liko vizuri linaonekana la mootooo 🔥🔥🔥🔥 maaaaaaamaaeeeee kwa sauti ya Maghayo 😄Aaah iyo sahau. Ukiwa na hili bibi utaweza liwacha kweli?
View attachment 2887144
Joannah adriz Lamomy raraa reree
Njoo nikuwekee bloangu,kwa mwaka mmoja riba yangu laki6Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo.
Nataka ninunue hata used ya 10M. Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa.
na mimi nasubiri ushauri maana tumeshakubaliana huu mwaka ndo mwaka wa kutoboa jamani..Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo.
Nataka ninunue hata used ya 10M. Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa.
huna video fupi ?Aaah iyo sahau. Ukiwa na hili bibi utaweza liwacha kweli?
View attachment 2887144
Joannah adriz Lamomy raraa reree
Ninayo ntakutumia baadaye nikirudi homuhuna video fupi ?
Sijui ni lini itaingia kwenye akili yako na wengine kwamba betting siyo reliable source of income???? Hivi ukiambiwa uweke sources zako za uhakika za kipato utaweka betting??Bet hio 1.2 ,weka odds 9.5 jumla.
Utanishukuru baadae
Haya mabibi nayapendeaga kitu kimoja tu. Ukiyafikisha kileleni yanaliaga kwa sauti kubwa na kuvibrate violently. Hapo ndo unaona utukufu wa uumbaji.Liko vizuri linaonekana la mootooo 🔥🔥🔥🔥 maaaaaaamaaeeeee kwa sauti ya Maghayo 😄
Aarishe na aanze na pikipiki, then bajaj then Gari..Mkuu nakushauri utemane na wazo la kumiliki Gari kwa sasa hivi. Hata ukifikisha iyo m10 ukanunua bado itakuwia vigumu kwako kwenye uendeshaji.
Jipange kwanza vizuri. Ila ushauri wangu siyo lazima uufwate huko huru kuamua upendavyo.
Alafu linaonekana ni la east europe hiloo 🔥🔥Haya mabibi nayapendeaga kitu kimoja tu. Ukiyafikisha kileleni yanaliaga kwa sauti kubwa na kuvibrate violently. Hapo ndo unaona utukufu wa uumbaji.
sawaNinayo ntakutumia baadaye nikirudi homu