Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Gari yako Ni Aina gani ndugu Wenda nikanunuaJitahidi tahidi ufikishe milioni 9 nikuuzie
Gari yako Ni Aina gani ndugu Wenda nikanunua
Nimempa ofa mtoa mada..kama anataka atanifata inbox..sio wewe jirani yangu wa kijiji cha nyuki...[emoji848]
Sasa mtoa mada mwenyewee anafika 2,5m kwa mwkaa [emoji23][emoji23][emoji23] atanunua gari kweliNimempa ofa mtoa mada..kama anataka atanifata inbox..sio wewe jirani yangu wa kijiji cha nyuki...
Tumpe moyo jamani...akiweka anaweza...kumbe ni kwa mwaka sijasoma vzr nilijua kwa mwezi...Sasa mtoa mada mwenyewee anafika 2,5m kwa mwkaa [emoji23][emoji23][emoji23] atanunua gari kweli
NakaziaBet hio 1.2 ,weka odds 9.5 jumla.
Utanishukuru baadae
Usipende kila kitu kuchukulia serious mkuu, just a lil jokeSijui ni lini itaingia kwenye akili yako na wengine kwamba betting siyo reliable source of income???? Hivi ukiambiwa uweke sources zako za uhakika za kipato utaweka betting??