Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.
Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!
Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.
Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.
Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.
Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!
Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.
Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.
Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.
Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.