Kila nikizunguka Tanzania naiona legacy ya hayati Magufuli ambayo haitafutika kirahisi

Kila nikizunguka Tanzania naiona legacy ya hayati Magufuli ambayo haitafutika kirahisi

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
 
.
IMG-20211020-WA0008.jpg
 
nkipita ubungo interchange lzm nimkumbuke!

kila nkipanda bus pale maguful bus terminal lzm nimkumbuke!

nkipanda airtz lzm nimkumbuke !

nkiliona li tanzanite building li sgr naachaje kumuheshimu?

nkiingia dom picha inaonijia ni magu tu.

na huu umeme unavokatika naachaje kumkumbuka ancle magu?

wami bridge +mradi wa maji arusha + treni dar tanga moshi chuga!

meli za kwenda kwetu kemondo!

magufuli city dom +kigongo busisi bridge

staki shida mie....nsije nkaambiwa sukuma gang wewe 😂😂😂🤣
nlienda singida kumsalmia babu nkashangaa taa za kuongozea magari na taa za mwanga usiku
 
Maisha kwa ujumla yalikuwaje? Uhuru wao, Udugu wao, n.k. Mapema sana kusahau watu walivyopotea pasi na taarifa, uporaji, tribalism, masimango (kutokua na adabu), bomu la ajira alilotengeneza, kutozingatia sera za kiuchumi kujikita kwenye miundombinu tu ambayo ni kuanzia Dar to Chato and not other regions.

Usisahau watumishi wa umma ambao wanaishi kwa pesa ile ile ya awamu ya nne, wakulima mf wa korosho wapo ambao hawajalipwa mpaka leo, maradhi basically failed to take measures on serious issue like COVID-19.

Machinga wanaonekana wanaonewa because of his impurity, shughuli za kisiasa zimedhorota because of his legacy, kila kitu, every angle... Mwache apumzike. We have more than decades of healing his destruction..
 
Wale wenye dhana ya utesaji, naomba mtupie na mifano kutoka kwa nchi nyingine kama china au Libya hapo kabla hawajaanza kula mema ya nchi!.
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu...
Kweli kabisa ila taratibu, angalia wasikuumize kisa kupenda legacy ya JPM!

Hawataki sikia jina lake, mafanikio, upendo wetu kwake na hata kuamuwa kumtusi na kumkashifu hovyo hovyo
 
Hivi tunajua maana ya hili neno legacy kweli!?
Ok! Kwahiyo tuseme Mkoloni aliacha legacy maana alitengeneza barabara. Kwanini zinabomolewa na kujengwa nyingine ndio utajua hiyo siyo legacy.

Jenga mifumo na falsafa ambazo zitakaa milele kwenye mioyo ya watu na vizazi vyao hiyo ndio legacy ktk uongozi.

Siyo falsafa za kutuaminisha kila maskini (mnyonge) ni mzalendo na kila tajir ni mpigaji hiyo haiwezi kuwa legacy.

Aliyesema haya maneno matatu tu kwa upeo wake wa kufikilia huenda ni legacy kubwa sana kuliko hawa tunao waimba.
Maadui wetu watatu;;
1.umasikini
2.ujinga
3.Maradhi
 
Vihiyo mna kazi kwelikweli kutetea legasi isiyokuwepo. Yaani unazunguka kwenye ubongo wako ndio ujifanye umezunguka Tanzania!!!!!!!
 
Kwa hiyo wewe kuzunguka Dar ndiyo unaona na Tanzania nzima iko hivyo?


Pole Sana mjane.
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu...

Si rahisi kuifuta legacy ya Dr Magufuli.
1.Hospital ya Rufaa Chato
2. International Airport Chato
3. 3 Star Hotel TANAPA Chato
4. VETA Chuo cha kanda Chato
5. National Park Chato
6. CRDB Chato
7. Trafic light Chato
8. TANESCO building Chato
9. Mahakama building Chato
10. Zimamoto building Chato
11. NHC Chato
12. Ndege Tausi Chato
13. Mkoa Chato Proposed
14. DC Office
15. DED Office
16. ............
Kweli Legacy ipo juu sana,lakini kwa watu wajinga kama wewe muanzisha uzi.
 
Meli zilizoundwa kwenye utawala wake Hilo tu inatosha.

Nyumba wanakwambia hakuna lolote wakati wao tangu chama kianzishwe hakina hata ofisi.
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Hayo yote cha Mtoto, Kwa Jambo moja tu anatosha kukumbukwa, UJENZI WA DODOMA na kuifanya Dododma Makao makuu.
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Amepambana sana kwenye miundombimu tangu akiwa waziri.
 
Back
Top Bottom