Kila nikizunguka Tanzania naiona legacy ya hayati Magufuli ambayo haitafutika kirahisi

Kila nikizunguka Tanzania naiona legacy ya hayati Magufuli ambayo haitafutika kirahisi

Nikimkumbuka Ben Saanane,Azory Gwanda na watu wa Kimara- Kibaha wanaolala nje hadi Sasa naiona legacy ya Magufuli.
Usiwasahau na wale akina mama waliokuwa wamejazana chini wodi za Mhimbili na kwingine...Usisahau adha za watoto kufa kwa malaria kwakuakosa matibabu, pia usisahau watu walionyang'anywa ardhi zao kwa jina zuri la wawekezaji na mengine mengi...
 
Maisha kwa ujumla yalikuwaje? Uhuru wao, Udugu wao, n.k. Mapema sana kusahau watu walivyopotea pasi na taarifa, uporaji, tribalism, masimango (kutokua na adabu), bomu la ajira alilotengeneza, kutozingatia sera za kiuchumi kujikita kwenye miundombinu tu ambayo ni kuanzia Dar to Chato and not other regions, Usisahau watumishi wa umma ambao wanaishi kwa pesa ile ile ya awamu ya nne, wakulima mf wa korosho wapo ambao hawajalipwa mpaka leo, maradhi basically failed to take measures on serious issue like COVID-19, machinga wanaonekana wanaonewa because of his impurity, shughuli za kisiasa zimedhorota because of his legacy, kila kitu, every angle... Mwache apumzike. We have more than decades of healing his destruction..
Kwan covid saiv mmechukua hatua gani au ndo chuk tu
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Kwa wastan kila Mtanzania anadaiwa milioni na laki tatu!?kutokana na jiwe kukopa,hapa hata mtoto aliyezaliwa jana anadaiwa!!!
 
Kwan covid saiv mmechukua hatua gani au ndo chuk tu
Magufuli alijichukiza mwenyewe, unapomuongelea usiweke vibanzi usoni. Baaadae wajukuu zako wakijua kama ulikuwa kwenye regime yake hawatokutofautisha na wafuasi wa Kinjekitile

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alijichukiza mwenyewe, unapomuongelea usiweke vibanzi usoni. Baaadae wajukuu zako wakijua kama ulikuwa kwenye regime yake hawatokutofautisha na wafuasi wa Kinjekitile

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Uyo chifu hangaya anavoogopa wazungu nyinyi ndo mnapenda Ila hakuna cha maana anachofanya
 
Si rahisi kuifuta legacy ya Dr Magufuli.
1.Hospital ya Rufaa Chato
2. International Airport Chato
3. 3 Star Hotel TANAPA Chato
4. VETA Chuo cha kanda Chato
5. National Park Chato
6. CRDB Chato
7. Trafic light Chato
8. TANESCO building Chato
9. Mahakama building Chato
10. Zimamoto building Chato
11. NHC Chato
12. Ndege Tausi Chato
13. Mkoa Chato Proposed
14. DC Office
15. DED Office
16. ............
Kweli Legacy ipo juu sana,lakini kwa watu wajinga kama wewe muanzisha uzi.
Mimi wananiuzi hawa wanafiki waliojaa uzandiki wanaiwaza chato kupelekewa maendeleo wanaumia kwani chato sio Tanzania? Haistahili kupata maendeleo hii ni fitina na uzandiki
 
Hayo yote cha Mtoto, Kwa Jambo moja tu anatosha kukumbukwa, UJENZI WA DODOMA na kuifanya Dododma Makao makuu.
Bila kusahau elimu bure, reli ya SGR, umeme wa rufiji na amewawekea arusha mradi mkubwa wa maji, reli ya Kilimanjaro, hospital ya mwl Nyerere kama huoni mambo aliyoyafanya Magufuli utakuwa mnafiki na mzandiki
 
Vipi kuhusu umeme huko vijijini, vituo vya afya na zahanati, masoko na stendi za kisasa.
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Kwa UHARAMIA WA NSSF haita futika
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Bila kusahau zile maiti zilizokuwa zikiokotwa kwenye fukwe za bahari,kutekwa watu,kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi,kujaza ndugu na jamaa kwenye nafasi za uongozi bila kufuata utaratibu,kauli za kashfa na matusi kwa wananchi kama ile "mama unataka upanuliwe wapi" na "baki na mavi yako"
 
nkipita ubungo interchange lzm nimkumbuke!

kila nkipanda bus pale maguful bus terminal lzm nimkumbuke!

nkipanda airtz lzm nimkumbuke !

nkiliona li tanzanite building li sgr naachaje kumuheshimu?

nkiingia dom picha inaonijia ni magu tu.

na huu umeme unavokatika naachaje kumkumbuka ancle magu?

wami bridge +mradi wa maji arusha + treni dar tanga moshi chuga!

meli za kwenda kwetu kemondo!

magufuli city dom +kigongo busisi bridge

staki shida mie....nsije nkaambiwa sukuma gang wewe 😂😂😂🤣
nlienda singida kumsalmia babu nkashangaa taa za kuongozea magari na taa za mwanga usiku
Umekuja juzi mjin lazima ushangae
Ungekuwepo Mwinyi alipojenga kariakoo s ungeshangaa
 
Upo sahihi mkuu.
Nawaonea huruma sana hawa wasanii waliopo maana ni aibu kuwaita viongozi.
JPM ameset level ambayo sioni wa kuifikia na uzuri wananchi wameonja utamu wa kuwa na mwamba kama JPM...
Watapata tabu sana...wamebaki kukosoa huku wanapuyanga tu.
 
Bila kusahau zile maiti zilizokuwa zikiokotwa kwenye fukwe za bahari,kutekwa watu,kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi,kujaza ndugu na jamaa kwenye nafasi za uongozi bila kufuata utaratibu,kauli za kashfa na matusi kwa wananchi kama ile "mama unataka upanuliwe wapi" na "baki na mavi yako"
Wewe utakuwa ulitumbuliwa vyeti feki au upo chama cha manyumbuzi
 
Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu.

Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange!

Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika.

Stand ya kisasa ya ya Magufuli bus terminal, Dodoma na miji mingine ni mifano ya kumkumbuka.

Nikiongelea manunuzi ya ndege watu wataponda,lakini alithubutu kununua cash.

Jambo kubwa ni kudiversify maendeleo, hili hatasahaulika maana kila kona ya Tanzania ilipata maendeleo.
Nyumbu hawawezi kukuelewa
 
nkipita ubungo interchange lzm nimkumbuke!

kila nkipanda bus pale maguful bus terminal lzm nimkumbuke!

nkipanda airtz lzm nimkumbuke !

nkiliona li tanzanite building li sgr naachaje kumuheshimu?

nkiingia dom picha inaonijia ni magu tu.

na huu umeme unavokatika naachaje kumkumbuka ancle magu?

wami bridge +mradi wa maji arusha + treni dar tanga moshi chuga!

meli za kwenda kwetu kemondo!

magufuli city dom +kigongo busisi bridge

staki shida mie....nsije nkaambiwa sukuma gang wewe 😂😂😂🤣
nlienda singida kumsalmia babu nkashangaa taa za kuongozea magari na taa za mwanga usiku
Magufuli Bridge-Kigongo ferry
Stands za mabasi Dododma, Mwanza Rukwa, Iringa etc etc
Chato airport
 
Hayo yote cha Mtoto, Kwa Jambo moja tu anatosha kukumbukwa, UJENZI WA DODOMA na kuifanya Dododma Makao makuu.
Hii ni kumbukizi kubwa sana, Hasa kuweka ikulu yenye ukubwa wa hekta 23 ikiwa na wanyama wanaopatikana kwenye mbuga zetu, ikulu kubwa zaidi Duniani ipo Dodoma
 
Back
Top Bottom