DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
We ni KE au ME
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni avatar tu na siyo picha yangu.acha zako uko sawa na nani na hayo masharubu yako!!?
Fanya uchunguzi sasa, au wewe unaamini kila utakachoambiwa?Watu wanaonizunguka waliniambia kuwa watu wananishangaa.
MEWe ni KE au ME
Yup.....uchunguzi ni pamoja na kuuliza kama hivi.Fanya uchunguzi sasa, au wewe unaamini kila utakachoambiwa?
Yangekuwa hayo ningekausha coz ningejua sababu ni ipi.Nakuwa kawaida sana.mi nahisi utakuwa unatembea kama sharo milionea na maplaster usoni kama nelly ndio maana watu wanakushangaa
Nitaiweka April 20.
kwahiyo mjomba wewe ni "ME" na bado ukipita mitaani watu wanakushangaa!!!?
Sawa.Mi nitatoa mtazamo wangu tar 21 April baada ya kuona picha.
Ndio sababu ya kuja kuuliza hapa barazani.kwahiyo mjomba wewe ni "ME" na bado ukipita mitaani watu wanakushangaa!!!?
Hii ngumu kumesa
Eleza mkuu wanakuangalieje coz km ni kukuangalia wote huwa tunaangaliwa, pia km wanakuangalia kwa kukushangaa may be ww ubaweza ukawa ni mweusi sana, mweupe sana, mfupi sana, mnene sana, mwembamba sana, au pengine ni mchafu au upo rough sana, mtanashat sana, una sura nzur au umbile zur sana, au yawekana sura mbaya sana...... mambo meng yawezekana yakachangia uangaliwe sana na watu.
KE wananipiga chabo sana hasa kwa kujiiba iba.Me wananiangalia kama wananifananisha.......Nina tabia nzuri na nidhamu ya kuridhisha hapa mtaani.Wanaokushangaa ni me au ke, kama ke ujue wewe ni handsome na kama me ujue una mwonekano wa kimawindo hivo wanaogopa usije ukawadokolea wake zao, pia jichunguze tabia zako pengine sio nzuri
Hapana umekosea.Utakuwa umekula bange kwa mara ya kwanza sasa ukimuangalia mtu au watu unaona wanakuangalia ,kumbe wenge.
NB. hii ni kwa experence niliyoipata baada ya kuwawasha 'magari' madogo kadhaa kwa mara ya kwanza.
mkuu rejea thread amesema hadi watoto na wazee pia huwa wanamkodolea mijicho, sasa sijajua huyu jombaa ana nn aiseeEleza mkuu wanakuangalieje coz km ni kukuangalia wote huwa tunaangaliwa, pia km wanakuangalia kwa kukushangaa may be ww ubaweza ukawa ni mweusi sana, mweupe sana, mfupi sana, mnene sana, mwembamba sana, au pengine ni mchafu au upo rough sana, mtanashat sana, una sura nzur au umbile zur sana, au yawekana sura mbaya sana...... mambo meng yawezekana yakachangia uangaliwe sana na watu.
Pengine ni mambo ya nyota ingawa mm siyaamin sana