Kula mara moja kwa siku tena ule diet tu, mbogamboga matunda maji na kupunguza vyakula vya wanga......dawa ni chemecal lazima zinakua na side effect kwa badaye sikuzipenda.Nin kimekusaidia kupungua?
Mi pia kuna dawa naletewa soon ukinywa hausikiii njaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unene sio mkuu
Ahaaa hongeraKula mara moja kwa siku tena ule diet tu, mbogamboga matunda maji na kupunguza vyakula vya wanga......dawa ni chemecal lazima zinakua na side effect kwa badaye sikuzipenda.
isha poa mkuudah Pole sana mkuu
I'm 30yrs old Mkuu!How old are you mkuu? Kwasbb hayo ni matokeo mazuri sanaa
Kumbe sio mbaya kwa matokeo hayo ila ni mapema sanaa kumantain huo uzito.I'm 30yrs old Mkuu!
Ila umri wako bado, mimi sasa hivi nimefikisha hiyo 84kg naona nimeachieve sana niko 44yrs.Kaka ni mapema but,unene unatesa aisee!
Kuendana na BMI yangu ni lazima nifike 81kg ila ntafika tu.BMI?
endelea na hilo zoezi kwa siku 90 utapunguza tu inaonekana ulikuwa na akiba ya kutosha ya glucose na lipids mwilini, usisahau kunywa maji ya moto lita moja asubuhi kabla ya kupiga mswakiKwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kidogo kwa lengo la kupunguza kilo, nitoke Kg 94 nirudi Kg 89 za awali kabla ya holiday.
Jana ndio nilienda kupima nione ni mepungua ngapi, to my surprise nimeingia Kg 103! Natimiza hivyo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila anachezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona nitajiachia tu litakalokuwa na liwe bwana.
Well-done Mkuu. Bado kilo 3 tu.Kuendana na BMI yangu ni lazima nifike 81kg ila ntafika tu.
Ahsante mkuuWell-done Mkuu. Bado kilo 3 tu.