lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Wewe umekamilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pole na upate kupona psychology hauko sawa. Umetenda ndio maanaHapo vip!!
Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .
Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.
mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.
Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Sema tu huna hoja na nlichokiandika ni ukweli,, Utakua haujakosea.Another petty bloated entitled brat throwing tantrums, Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Perfect 🥰Kwan sisi wenyew wanaume tuna tabia nzuri??
LOVE IS NOT ABOUT FINDING THE RIGHT PERSON, LOVE IS ABOUT BECOMING THE RIGHT PERSON, ONCE YOU BECOME THE IDEAL YOU, THE RIGHT PEOPLE WILL AUTOMATICALLY GRAVITATE TOWARDS YOU.
Siku utakapo elewa hii sentensi hutaumiza kichwa tena kuhusu mapenzi.
NAKAZIA