Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Ujue kitu kinacho waumaga sana wana ni zile ghrama za kumtunza mwanamke, sometimes unajinyima ili kumtimizia mahitaji yake muhimu. Halafu kuna mpuuzi mmoja yy anakula bila kutoa mbuni.

Nishashuhudia jamaa wawili,wake zao wakitembea na wahuni tu wa kitaa na mida ya mchana hawa wanawake walikuwa wanawapeleka msosi kwenye hotpot.Acha tu ,huyu mmoja alikuwa mwanetu, wana wakamchana live ,ndipo akaona aibu akaachana na yule mwanamke.

Ila nyie dada zangu kwenye mahusiano mnachoofa wengi wenu ni kipochi manyoya.

Nina mwanangu demu alimwacha na sio kwamba jamaa alikuwa haudumii ana hudumia,ila demu akapata meneja wa bank kipindi akiwa internship,mwana demu katoka nae advance,acha kabisa yaani mwana alikonda kutoka size ya Msechu mpaka kufikia size ya wabogojo, kitambi chote kilipotea.
Kaka Mimi na kuelewa, japo Mimi ninachosema ni kuwa binadam wote wameharibika sana kwa sasa ndio maana wanaume wanalia na wanawake wanalia vilevile.

Nimemkosoa mleta mada kwa aina ya title aliyoiandika, kuwa kwa aina ya wanawake tuliopo sasa ndio sababu ya ndoa kuwa na matatizo sio kweli. Kuna uwepo wa wanawake wakataa ndoa kwani nao wametendwa na wanawake wenzao? Wametendwa na wanaume hawa hawa ambao humu wanajipaint kama malaika Fulani hivi…….

Kusema wanawake tunachoofa kwenye mahusiano ni kipochi tu?? Napo sio kweli kwa asilimia zote inategemea una date na mwanamke wa aina gani, umri gani, ana mtazamo upi etc. Swali huwa mnawaambia expectations zenu mnapoanza mahusiano? Huwa mnatamani wawe wanaoffer nini?

Hata hivyo nakubali kuwa wanawake tumebadilika kwa 70% kuendana na nyakati na mahitaji ya sasa, kila kitu kimebadilika so as mwanamke!
 
Kaka Mimi na kuelewa, japo Mimi ninachokataa ni kuwa binadam wote wameharibika sana kwa sasa ndio maana wanaume wqnalia na wanawake wanalia vilevile.

Nimemkosoa mleta mada kwa aina ya title aliyoiandika, kuwa kwa aina ya wanawake tuliopo sasa ndio sababu ya ndoa kuwa na matatizo sio kweli. Kuna uwepo wa wanawake wakataa ndoa kwani nao wametendwa na wanawake wenzao? Wametendwa na wanaume hawa hawa ambao humu wanajipaint kama malaika Fulani hivi…….

Kusema wanawake tunachoofa kwenye mahusiano ni kipochi tu?? Napo sio kweli kwa asilimia zote inategemea una date na mwanamke wa aina gani, umri gani, ana mtazamo upi etc. Swali huwa mnawaambia expectations zenu mnapoanza mahusiano? Huwa mnatamani wewe wanaoffer ninini?
Nimetumia wengi wao najua utakataa ila kiasili wanawake asilimia kubwa ni wabinafsi, hata wakiwa na hela wengi wenu hela yenu haionekani.

Mwanamke hata umuonyeshe expectations gani ila kama akiamua lake anaamua,mimi jamaa yangu aliachwa wakati akiwa kwenye process ya kupeleka barua,yule meneja wa bank akawahi kupeleka barua na akaoa.

Narudia tena wana wanaumia sababu wana gharamia sana,halafu baadae waachwa na kugongewa.

Mfano huko mbele US ndio kabisa wanaume mpaka wanapelekea kupata msongo mkubwa wa mawazo,kwani kisha yagharamikia mapenzi, baada kuachwa na bado anataka 50/50 na bado kuna allomony, haya maaumivu wanawake ya kutoa hela yenu kugharamikia mapenzi wengi wenu hamuyajui na hata kama wapo hawazidi 5%.

Kuna mzungu mmoja jimbo la Florida anaishi kwenye,gari kwanza mali zake zimepigwa pasu,pili kamlipa Alimony mkewe kiasi kinafikia USD 2m,mzee ana miaka 60+ hata ukimtizama kichwa hakipo vizuri ,anaongea mpaka analia.

Kinacho waumiza wana ni zile gharama tunazoziwekeza kwenye mapenzi na mgawanyo wa mali baada ya kuachana plus child support na ndio maana wengine hufikia hatua ya kudata na kuwa na msongo wa mawazo.Kwani anafikiria hela aliyo ipoteza baada ya kudate na baada ya mgawanyo wa mali na bado kuna hela inabidi aitafute kwa ajili ya child support na allomony (kwa nchi za ulaya),hayo yote yana bebwa na kichwa kimoja lazima udate.

Nakupa homework watafute mabinti kama watano ambao,wanaofanya kazi kwenye taasisi kubwa au yoyote mwenye hela,ambao wapo kwenye mahusiano ya uchumba,waulize lini alimnunulia mpenzi wake zawadi hata ya laki moja. Then njoo kwa wanaume,uone watakavyo funguka na kuna wengine sasa hivi wanajipinda kutafuta hela wawanunulie wapenzi wao iPhone 15,wakati yy unaweza ukakuta anatumia Sumsung ya laki tano. Hapo bado kuna wanaume wamehonga,viwanja,magari,nyumba nk.Nyie jinsia yenu na wanaume mioyo yetu ni tofauti ktk kutoa kabisa.
 
Nimetumia wengi wao najua utakataa ila kiasili wanawake asilimia kubwa ni wabinafsi, hata wakiwa na hela wengi wenu hela yenu haionekani.

Mwanamke hata umuonyeshe expectations gani ila kama akiamua lake anaamua,mimi jamaa yangu aliachwa wakati akiwa kwenye process ya kupeleka barua,yule meneja wa bank akawahi kupeleka barua na akaoa.

Narudia tena wana wanaumia sababu wana gharamia sana,halafu baadae waachwa na kugongewa.

Mfano huko mbele US ndio kabisa wanaume mpaka wanapelekea kupata msongo mkubwa wa mawazo,kwani kisha yagharamikia mapenzi, baada kuachwa na bado anataka 50/50 na bado kuna allomony, haya maaumivu wanawake ya kutoa hela yenu kugharamikia mapenzi wengi wenu hamuyajui na hata kama wapo hawazidi 5%.

Kuna mzungu mmoja jimbo la Florida anaishi kwenye,gari kwanza mali zake zimepigwa pasu,pili kamlipa Alimony mkewe kiasi kinafikia USD 2m,mzee ana miaka 60+ hata ukimtizama kichwa hakipo vizuri ,anaongea mpaka analia.

Kinacho waumiza wana ni zile gharama tunazoziwekeza kwenye mapenzi na mgawanyo wa mali baada ya kuachana plus child support na ndio maana wengine hufikia hatua ya kudata na kuwa na msongo wa mawazo.Kwani anafikiria hela aliyo ipoteza baada ya kudate na baada ya mgawanyo wa mali na bado kuna hela inabidi aitafute kwa ajili ya child support na allomony (kwa nchi za ulaya),hayo yote yana bebwa na kichwa kimoja lazima udate.

Nakupa homework watafute mabinti kama watano ambao,wanaofanya kazi kwenye taasisi kubwa au yoyote mwenye hela,ambao wapo kwenye mahusiano ya uchumba,waulize lini alimnunulia mpenzi wake zawadi hata ya laki moja. Then njoo kwa wanaume,uone watakavyo funguka na kuna wengine sasa hivi wanajipinda kutafuta hela wawanunulie wapenzi wao iPhone 15,wakati yy unaweza ukakuta anatumia Sumsung ya laki tano. Hapo bado kuna wanaume wamehonga,viwanja,magari,nyumba nk.Nyie jinsia yenu na wanaume mioyo yetu ni tofauti ktk kutoa kabisa.
Sahihi, na nimeelewa kuwa maumivu yenu mengi yanatokana na kutumia hela zenu kwa wanawake.

Kwa hilo sina kipingamizi hata kama ningekuwa mimi, ningemind. Ila bado ukweli uko palepale kuwa hizi jinsia mbili zinazingua sana, kama umebahatika tuenjoy yakigeuka tulie, tufute machozi na lazima maisha yaendelee.

Funny fact: hata wapenzi wa jinsia moja wanaumizana, wanaachana kwahiyo neno mapenzi lina shida ndani yake.
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Fafanua, huyu mwanamke alikufanyia nini.....alikushikisha ukuta au maana nao wanafila sana wanaume wa Dar.
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Know the difference between loneliness and alone which group are you?
 
Nimetumia wengi wao najua utakataa ila kiasili wanawake asilimia kubwa ni wabinafsi, hata wakiwa na hela wengi wenu hela yenu haionekani.

Mwanamke hata umuonyeshe expectations gani ila kama akiamua lake anaamua,mimi jamaa yangu aliachwa wakati akiwa kwenye process ya kupeleka barua,yule meneja wa bank akawahi kupeleka barua na akaoa.

Narudia tena wana wanaumia sababu wana gharamia sana,halafu baadae waachwa na kugongewa.

Mfano huko mbele US ndio kabisa wanaume mpaka wanapelekea kupata msongo mkubwa wa mawazo,kwani kisha yagharamikia mapenzi, baada kuachwa na bado anataka 50/50 na bado kuna allomony, haya maaumivu wanawake ya kutoa hela yenu kugharamikia mapenzi wengi wenu hamuyajui na hata kama wapo hawazidi 5%.

Kuna mzungu mmoja jimbo la Florida anaishi kwenye,gari kwanza mali zake zimepigwa pasu,pili kamlipa Alimony mkewe kiasi kinafikia USD 2m,mzee ana miaka 60+ hata ukimtizama kichwa hakipo vizuri ,anaongea mpaka analia.

Kinacho waumiza wana ni zile gharama tunazoziwekeza kwenye mapenzi na mgawanyo wa mali baada ya kuachana plus child support na ndio maana wengine hufikia hatua ya kudata na kuwa na msongo wa mawazo.Kwani anafikiria hela aliyo ipoteza baada ya kudate na baada ya mgawanyo wa mali na bado kuna hela inabidi aitafute kwa ajili ya child support na allomony (kwa nchi za ulaya),hayo yote yana bebwa na kichwa kimoja lazima udate.

Nakupa homework watafute mabinti kama watano ambao,wanaofanya kazi kwenye taasisi kubwa au yoyote mwenye hela,ambao wapo kwenye mahusiano ya uchumba,waulize lini alimnunulia mpenzi wake zawadi hata ya laki moja. Then njoo kwa wanaume,uone watakavyo funguka na kuna wengine sasa hivi wanajipinda kutafuta hela wawanunulie wapenzi wao iPhone 15,wakati yy unaweza ukakuta anatumia Sumsung ya laki tano. Hapo bado kuna wanaume wamehonga,viwanja,magari,nyumba nk.Nyie jinsia yenu na wanaume mioyo yetu ni tofauti ktk kutoa kabisa.
Tatizo mnatumia vitu kuwashawishi wanawake wawapende . Mtu anayekupenda kweli vitu sio kitu kwake. Na haya mambo mmewazoesha wenyewe mwisho wa siku hakuna mapema ya kweli bali ya vitu.
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Wanaume wa Tanzania tumetawaliwa na mambo mawili makubwa. 1. ubinafsi 2. u-mfumo dume. Yaani tunadhani sisi tuna haki ya kufanya baadhi ya mambo lakini wanawake hawaruhusiwi. Kwa mfano kuchepuka. Jambo linalolalamikiwa sana na wanaume wengi ni kuwa eti siku hizi ukioa, mke wako hakiwii kuchepuka. Hivi hao wanawake huwa wanachepuka na wanyama? Si wanachepuka na sisi wanaume? Kwa nini lawama ziende kwa wanawake wakati wanaume ndiyo chanzo? Mimi nilipokuwa na ex wangu kuna siku tulikuwa tunaamua kucheza mchezo. Yeye anatangulia mbele mimi nyuma, kama hatuko pamoja. barabarani, kwenye dala dala na bar hatukai pamoja. Nilikuwa nashangaa idadi kubwa ya wanaume waliokuwa wanam-approach, tena kwa kung'ang'ania vibaya sana. Wengi ni watu wazima wenye wake zao. Sasa ukiwa na society ya namna hii utawalaumuje wanawake? Wanaume tutulie dawa ituingie, maisha ya sasa wanawake nao wanajibu mapigo.
 
Tatizo mnatumia vitu kuwashawishi wanawake wawapende . Mtu anayekupenda kweli vitu sio kitu kwake. Na haya mambo mmewazoesha wenyewe mwisho wa siku hakuna mapema ya kweli bali ya vitu.
Nature ya mwanaume ni kutoa, haotokuja kubadilika, upendwe husipendwe kutoa hakuiepukiki, kinyume cha hapo basi kuna walakini na jinsia yako ya kiume.

Labda uwe Marioo ambacho si kitu kizuri kwa mtoto wa kiume kwani kinakulemaza.
 
Nature ya mwanaume ni kutoa, haotokuja kubadilika, upendwe husipendwe kutoa hakuiepukiki, kinyume cha hapo basi kuna walakini na jinsia yako ya kiume.

Labda uwe Marioo ambacho si kitu kizuri kwa mtoto wa kiume kwani kinakulemaza.
Basi msilalamike , mkae kimya.
 
Basi msilalamike , mkae kimya.
Kulalamika lazima ulalamike ipo hivyo ma ndio maana si ulaya si Africa wote wimbo wetu mmoja.US sasa kuna vitu ambavyo vilikuwa vina waumiza wanaume wanaanza kuvipunguza,Partenity test kwenye jimbo la Arizona ni lazima (maswala ya kitanda hakizai haramu hawataki kuyasikia),kuna sheria mpya ya Alomony mpya jimbo la Florida (wadangaji wa huko wanalia) na kuna sheria nyingine Texas endapo mwanamke akimzuia mwanaume kumuona mtoto,basi mwanamke atatozwa dola 500.

Wewe unafikiri haya yote yameibuka vipi kama si wanaume kulalamika kwa maumivu wanayo yapitia na wameona baada ya kugundua wanaume wangi hupitia msingo wa mawazo na afya ya akili baada ya kuachwa na wenza wao.
 
Back
Top Bottom