Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Usisingizie wanawake wote mkuu inawezekana wewe ndio mwenye matatizo. Jichunguze vizuri ulipokwama kisha jirekebishe maisha yasonge. Zipo ndoa imara wanapendana mpaka wanavaliana pichu mkuu.
 
Jaribu kuoa mwanaume utaenjoy sana.

Nashindwa kuelewa kwa dunia ilipo hapa wengi mmeharibikiwa kwanini mwanamke ndio abebe lawama pekeyake? Yaani wanaume mnavyojielezea humu kama malaika vile as if tumezaliwa jana hatuwajui wanaume 😂
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Bonge la uzi😁😁
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Ndoa tamu sana jombi kikubwa tafuta size yako
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Simama kama mwanaume. Unapo owa wewe ndio boss si vinginevyo. Ila kuna mapenzi na kushirikiana katika ndoa.
Haya matatizo yanakuja sababu ya kupeana namba kwenye daladala na mapenzi bandia yanashamiri na mwisho ndoa taabani yenye taabu inaundwa.
Turudi kwa hekima za wahenga, mke na mume CV zao zinatafutwa na kusomwa vizuri kujua mengi kuhusu familia mpaka mchumba mwenyewe
 
Wapo pia wanaodhani kuoa bikra inasaidia..
Ndio inasaidia miaka ya mwanzoni, sasa basi akianza kuchoka na kupata stori za wanawake wenzie kuhusu kuchepuka na ikawa amechepuka akapewa mboro tamu haki hakuna rangi utaacha kuona .. hubadilika na kuwa watoto wa shetani.
Anachokaje kama sio wewe umemfanya achoke ?
 
Kuna jamaa mmoja jana kwenye uzi kajitapata eti way hawapitii michakato sahihi wakati wa kuoa alimaanisha yy ana mke wa maana. Mwanamke sio kitu cha kukipa imani yako hata 1% mwanamke anaweza kuwa mwema kwa miaka zaidi ya 20 target zikikaa sawa utajuta
Mnakosea sehemu moja tu, Hayo ni mabadiliko ( Binadamu yoyote anaweza kubadilika mda wowote kama kuna ambavyo vitampa sababu ya kubadilika ) , Wanawake wengi wanakuja kuzingua, mara nyingi sababu zinatokana na sisi wenyewe wanaume...

Mtu akupende miaka 20 gafla tu anakuja kukutenda tu bila sababu ??? Sababu za kufanya hivyo ni wewe man, tatizo sisi tunapuuza sanaa hizi sababu yani kuna mambo tunachukulia simple mpaka yakufike na lawama zote unampa aliekutenda wakati sababu ni wewe
 
Aoe Mwanaume mwenzie mkuu labda stori itakuwa tofauti .😂

Maana yangu ni kwamba kuna wanawake pia wametendwa kwenye ndoa na wanaume, kwahiyo point hapa ni binadamu wa sasa ni tatizo wala sio mwanamke.. inavyosimuliwa humu JF ni kama wanaume ni malaika fulani hivi.
Toka enzi na karne, mwanaume ni mfalme mkuu, au umesahau? Jitahidini kutupetipeti, huwa hatukosei😀
 
Back
Top Bottom