Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyo kitabia naona ni bora kubaki bila kuoa

Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
Swali,Umezaliwa ndani ya ndoa au? Au na wewe umelelewa na mzazi mmoja? Maana Kwa utafiti mdogo watu wenye mitazamo hasi kuhusu ndoa hawajalelewa ndani ya ndoa ila asilimia kubwa waliolelewa ndani ya ndoa wanaheshimu ndoa.
 
Mnakosea sehemu moja tu, Hayo ni mabadiliko ( Binadamu yoyote anaweza kubadilika mda wowote kama kuna ambavyo vitampa sababu ya kubadilika ) , Wanawake wengi wanakuja kuzingua, mara nyingi sababu zinatokana na sisi wenyewe wanaume...

Mtu akupende miaka 20 gafla tu anakuja kukutenda tu bila sababu ??? Sababu za kufanya hivyo ni wewe man, tatizo sisi tunapuuza sanaa hizi sababu yani kuna mambo tunachukulia simple mpaka yakufike na lawama zote unampa aliekutenda wakati sababu ni wewe
Sawa na wewe tumekuunga mkuu
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
SWALI: Maana yake ni nini Bwana anaposema (Mathayo 19) “Maana wako 1.MATOWASHI-waliozaliwa hali hiyo toka MATUMBONI MWA MAMA ZAO; Tena wako

2.MATOWASHI-waliofanywa na WATU kuwa matowashi; tena wako 3.MATOWASHI-WALIOJIFANYA KUWA MATOWASHI KWAAJILI YA UFALME WA MBINGUNI.Awezaye kulipokea neno hili,na alipokee”.
Matowashi ni watu waliojitoa wakfu kwa Mungu, wasiojihusisha na mambo ya wanawake,(yaani kuwa na mke au watoto), mfano wa matowashi katika biblia ni Bwana wetu Yesu, Mtume Paulo,Barnaba, Yohana mbatizaji na Eliya Mtishbi.
 
Hapo vip!!

Kila ninavyoona wanawake wa sasa hivi walivyokitabia naona ni bora kubaki bila kuoa .

Lakini pia nilijaribu kuoa mwaka fulani ikanishinda baada ya kumtambulisha mwanamke mmoja yakatoa ya kutoa kea nikanyoosha mikono.

mimi naona furaha kubwa ni kuishi mwenyewe na kutafuta pesa na kuwatunza watoto wako kama umeweza kuzaa nje.

Sikuhizi nikimuona mwanaume anayesema anampenda mwanamke namshanga..yaani anaweza je kupenda.. naona kumpenda mwanamke ni ushamba na kutokujitambua.
kushindwa kumsimamia mwanamke ni udhaifu ambao unakutambulisha kuwa wewe ni mtu wa hovyo
ndo maana baadhi ya vyeo vinahitaji mtu aliye oa
Kama unashindwa kusimamia mtu mmoja utawezaje kusimamia kampuni au nchi
Omba tukupe mbinu lakini siyo kutuambia ujingaujinga
 
Kwan sisi wenyew wanaume tuna tabia nzuri??

LOVE IS NOT ABOUT FINDING THE RIGHT PERSON, LOVE IS ABOUT BECOMING THE RIGHT PERSON, ONCE YOU BECOME THE IDEAL YOU, THE RIGHT PEOPLE WILL AUTOMATICALLY GRAVITATE TOWARDS YOU.

Siku utakapo elewa hii sentensi hutaumiza kichwa tena kuhusu mapenzi.
Unajua maana ya mapenzi uchizi lakini? Yaani mpenzi wako anakuwa chizi kwa mpenzi wake mwingine tofauti na wewe.

Sasa mkuu,unawezaje kuwa mwaminifu kwa mtu wa aina hyo?
 
kushindwa kumsimamia mwanamke ni udhaifu ambao unakutambulisha kuwa wewe ni mtu wa hovyo
ndo maana baadhi ya vyeo vinahitaji mtu aliye oa
Kama unashindwa kusimamia mtu mmoja utawezaje kusimamia kampuni au nchi
Omba tukupe mbinu lakini siyo kutuambia ujingaujinga
Ina maana mtu akiweza kumsimamia mtu mmoja ndio ataweza kusimamia nchi nzima na si kinyume chake 🤔
 
Jaribu kuoa mwanaume utaenjoy sana.

Nashindwa kuelewa kwa dunia ilipo hapa wengi mmeharibikiwa kwanini mwanamke ndio abebe lawama pekeyake? Yaani wanaume mnavyojielezea humu kama malaika vile as if tumezaliwa jana hatuwajui wanaume 😂
Ujue kitu kinacho waumaga sana wana ni zile ghrama za kumtunza mwanamke, sometimes unajinyima ili kumtimizia mahitaji yake muhimu. Halafu kuna mpuuzi mmoja yy anakula bila kutoa mbuni.

Nishashuhudia jamaa wawili,wake zao wakitembea na wahuni tu wa kitaa na mida ya mchana hawa wanawake walikuwa wanawapeleka msosi kwenye hotpot.Acha tu ,huyu mmoja alikuwa mwanetu, wana wakamchana live ,ndipo akaona aibu akaachana na yule mwanamke.

Ila nyie dada zangu kwenye mahusiano mnachoofa wengi wenu ni kipochi manyoya.

Nina mwanangu demu alimwacha na sio kwamba jamaa alikuwa haudumii ana hudumia,ila demu akapata meneja wa bank kipindi akiwa internship,mwana demu katoka nae advance,acha kabisa yaani mwana alikonda kutoka size ya Msechu mpaka kufikia size ya wabogojo, kitambi chote kilipotea.
 
Back
Top Bottom