Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
October sio mbali, watafurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama

Na sasa hivi wameileta Covid-19 bila shaka mpo imara sana... Make tumeshuhudia wakiendelea kufeli..
Pigeni kazi... Chapeni kazi...
ccm mbere kwa mbere...
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Hakuna Teuzi, Fanya kazi
Hakuna pesa ya bure ukitegemea umbea
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.
 
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.

Wa hoja ya u nesi keshakuwa waziri buni na wewe ta kwako unaweza ukwaa hata u IGP maana hata mkuu anajua huo ni dili la haja!
 
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.

Na ukitamka tuu kuwa Rais sio NESI unalamba uwaziri kabla ya aliyekufa hajazikwa. Hivyo ndugu yangu Phillipo Bukililo umetamka nawe sasa hivi subiri utalamba uteuzi akidondoka mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anguko la Magufuli laja hata kabla ya october
Tusubiri kwa maana tumezoea kusubiri. hata tuambiwaye yu karibu sana kuja kutuchukua wazima na wafu, tumesubiri hata kwa karne sasa. Tutasubiri😂😂
 
Hakuna Teuzi, Fanya kazi
Hakuna pesa ya bure ukitegemea umbea
Hujaona Mwigulu kalamba shavu kimasihara kwa hizi hizi porojo?Wamepigiwa kipyenga,tutawakoma!
 
Ni haki yako kukichukia chama au mtu na uko sawa kabisa,ila in the process usishushe heshima na hadhi yako kwa kiwango hiki!Huku ni kumdhalilisha hata aliyekuumba na kukupa akili timamu!Kuwa objective na acha fitna na majungu yasiyo na maana!
 
Kwa akili hizi sishangai kuona baadhi ya Watanzania wenzetu wakiendelea kuwaombea muendelee tu kupukutika kwa hili janga la Corona! Mnaleta sana mauzi.
 
Ni haki yako kukichukia chama au mtu na uko sawa kabisa,ila in the process usishushe heshima na hadhi yako kwa kiwango hiki!Huku ni kumdhalilisha hata aliyekuumba na kukupa akili timamu!Kuwa objective na acha fitna na majungu yasiyo na maana!
Mkuu Bome-e,kuna kipindi nilikutana na mama mmoja huko Dodoma,akanisimulia kuhusu mtoto wake alivyo mpumbavu. Kwa ufupi alisema kuna wamama hawajifungui bali "wanatoa uchafu toka tumboni". Sasa kwa kweli nimeamini kuwa kuna "uchafu hutolewa toka tumboni".
 
Back
Top Bottom