Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Kuna mawaziri wenye kufanya hizo kazi za kutembelea vituo vya wagonjwa.

Rais anafanya kazi kwa ratiba anayoifahamu yeye sio tunaoifahamu mimi na wewe.

Yule ni rais wa nchi sio admin wa group la whatsapp.

Mkuu unaridhika na hawa mawaziri wanachokifanya kuhusu Corona?

Hii kujifukiza, maombezi na hizi takwimu za kubumba?

Au ndiyo maagizo yake na hawa mawaziri ni wahanga wake tu?

Wewe unaongelea admin wa WhatsApp? Tunaongelea vita tena kubwa kuliko ya vita vikuu vya pili vya dunia.

Ama kweli tuko na mitizamo tofauti. Kama kumbe wengine tunaongelea magroup ya WhatsApp.

Yale yale ya mnara wa Babel.

What a contrast.
 
Mkuu unaridhika na hawa mawaziri wanachokifanya kuhusu Corona?

Hii kujifukiza, maombezi na hizi takwimu za kubumba?

Au ndiyo maagizo yake na hawa mawaziri ni wahanga wake tu?

Wewe unaongelea admin wa WhatsApp? Tunaongelea vita tena kubwa kuliko ya vita vikuu vya pili vya dunia.

Ama kweli tuko na mitizamo tofauti. Kama kumbe wengine tunaongelea magroup ya WhatsApp.

Yale yale ya mnara wa Babel.

What a contrast.
Mkuu kila mtu na mtazamo wake. Mawaziri wanafanya kazi kubwa sana kama wewe huioni hakuna wa kukuonyesha wala kukulazimisha kuiona.

Suala la takwimu kumbuka kuwa waafrika wengi ni waoga wa kwenda hospitali na wapo radhi kuugulia majumbani.

Ni vigumu kwa kila mgonjwa wa corona kuweza kuwa chini ya uangalizi wa wizara ya afya, ushirikiano wetu katika masuala ya afya ni mdogo.

Ufanyaji kazi wa rais haupangwi na maoni wala mawazo ya mtu mmoja mmoja.

Kwa rais kuwa Chato sio kigezo kwamba hakuna kinachofanyika.

Kikwete na Mkapa walitibiwa nje ya africa na bado huko huko walipokuwa walitoa maagizo yaliyotekelezwa.
 
Watu wa lumumba kama vile mmepagawa baada ya teuzi ya Mwiguli. Nyuzi za kusifu kipumbavu zaongezeka kwa kasi ya ajabu. Kazeni buti korona inapita na viongoz wengi kutakuwa na nafasi nyingi za kujaza. Msisahau kuwa mnaweka na no za simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Povu lisilo na msingi. Kumbuka wewe ni binadamu hivyo corona inaweza kupita na wewe kwanza kabla haijawafikia wengine.
 
Mkuu kila mtu na mtazamo wake. Mawaziri wanafanya kazi kubwa sana kama wewe huioni hakuna wa kukuonyesha wala kukulazimisha kuiona.

Suala la takwimu kumbuka kuwa waafrika wengi ni waoga wa kwenda hospitali na wapo radhi kuugulia majumbani.

Ni vigumu kwa kila mgonjwa wa corona kuweza kuwa chini ya uangalizi wa wizara ya afya, ushirikiano wetu katika masuala ya afya ni mdogo.

Ufanyaji kazi wa rais haupangwi na maoni wala mawazo ya mtu mmoja mmoja.

Kwa rais kuwa Chato sio kigezo kwamba hakuna kinachofanyika.

Kikwete na Mkapa walitibiwa nje ya africa na bado huko huko walipokuwa walitoa maagizo yaliyotekelezwa.

Mkuu, 'we can always agree to disagree' kistaarabu. Kila mtu kuwa na mtizamo wake ni human right.

Ila pamoja na kila kitu it will be very interesting kufahamu kama handling ya Corona kama inavyofanywa hapa nchini, inakuridhisha kuwa maambukizi hayasambai tena, tunaendelea kuudhibiti huu ugonjwa na tusiwe na wasiwasi wowote tuko vizuri kiwango cha kuendelea kupanga hata mipango ya maendeleo ya kesho.

Mkuu kwangu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu niko hapa:

Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno: Kwa unavyoshughulika na Corona sasa - NO! - JamiiForums
 
haya ni maneno ya hekima nimejiuliza unamwambia nani? unamwambia mtoa mada? nimepambana kuelewa nimetoka bila bila! pliz fafanua ukipenda!! ukiadmit bias wewe ni timu ufipa nitaelewa!
Ujumbe ni kwa mtu yeyote!Hata wewe uchukue tu!
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Nyie akina mataga mnaua watu kwa ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom