Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

Mkuu Bome-e,kuna kipindi nilikutana na mama mmoja huko Dodoma,akanisimulia kuhusu mtoto wake alivyo mpumbavu. Kwa ufupi alisema kuna wamama hawajifungui bali "wanatoa uchafu toka tumboni". Sasa kwa kweli nimeamini kuwa kuna "uchafu hutolewa toka tumboni".
Hawa watu wanafanya makusudi,sio kwamba ni wapuuzi kiasi hicho!
 
Chadema ni mbwa koko
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Vyura wa kijani mmefungua uzi wa kujifariji,na kujaribu ku-diverge attention ya watu ili tusiendelee kumsakama yule mwoga aliyejificha ndani ya handani, huku akijifukiza na kupigwa chale kule Usukumani.
 
Wa hoja ya u nesi keshakuwa waziri buni na wewe ta kwako unaweza ukwaa hata u IGP maana hata mkuu anajua huo ni dili la haja!
Cha muhimu ni ukweli wa hoja yake hayo ya vyeo ni nafsi za watu kuongozwa na unyonge au wivu.

Amiri jeshi mkuu hata akiwa chumbani kwake anapolala anaongoza mapambano. Neno lake akiwa popote pale ni agizo.
 
Umesahau.
Wakakadharau corona na kuiita ni ka korona sasa wamefeli.
Wakayaita haya maradhi ni chadema wabunge wao wakala za uso wakafeli.
Wakasema tusifanye mambo kisayansi bali tujikite kwenye maombi namba ikaongezeka wakafeli.
Wakasema tujifukize bila kujua tunajifukiza nn wakafeli.

Baada ya yote kufeli sasa ni polisi kumkamata kila anayetaja korona as if haya maradhi yanamilikiwa na ccm
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha muhimu ni ukweli wa hoja yake hayo ya vyeo ni nafsi za watu kuongozwa na unyonge au wivu.

Amiri jeshi mkuu hata akiwa chumbani kwake anapolala anaongoza mapambano. Neno lake akiwa popote pale ni agizo.

Mkuu kuna command center na command posts. Unaonaje huyu?

IMG_20200417_160127_313.jpg

Hatuwezi kujipanga zaidi kuokoa maisha kuliko kujalia siasa tu?
 
Walipoungana na ACCACIA walifeli.

Maandamano ya ukuta yalifeli

Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli

Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli

Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli

Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU

Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama

Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Unamkejeli Mzee Baba?Halali usingizi kwa jinsi COVID-19 inavyomtesa,inamalizia change kidogo ya tulichokopa na hakuna dalili ya kuisha haka kaugonjwa.
 
Bado wanatengeneza clip za video za watu kuzikwa lkn watafeli tuu...hakika watafeli tu tena watafeli sannaaaaa.yani haijawai tokea mtu kufeli mpka unamwonea huruma. 😂😂😂😂 bora vingine lkn sio kufeli kma wao..yaaaan
 
Mkuu kuna command center na command posts. Unaonaje huyu?

View attachment 1438365
Hatuwezi kujipanga zaidi kuokoa maisha kuliko kujalia siasa tu?
Kuna mawaziri wenye kufanya hizo kazi za kutembelea vituo vya wagonjwa.

Rais anafanya kazi kwa ratiba anayoifahamu yeye sio tunaoifahamu mimi na wewe.

Yule ni rais wa nchi sio admin wa group la whatsapp.
 
Magufuli alijaribu kunivutia kwa mara ya kwanza siku ile ya makinikia baada ya kutangaza pale pale kuwa kina Cheng na mawaziri kadhaa wakamatwe.
Na miezi michache baadaye nikajua ana michezo ile ile sema ana sauti ya ukali.

Mlete Noah kwanza ndo mseme mmefanikiwa kuhusu Makinikia na zile kesi zote mkishinda itakuwa sawa.

Kuhusu SGR, mwanzoni nilijua inavyotangazwa kama inaanza kazi baada ya mwaka. Kwa mipango yao hiyo SGR itafika Mwanza 2023.

Nikiwa na rejea za viboko walivyopigwa Mtwara kwenye sakata la gesi na kwamba gesi itakuwa suluhisho la umeme nilichoka kusikia pesa zitakazohitajika kukamilisha Stigler na tunategemea miaka 7 kukamilika ndo waanze uzalishaji.

Sasa wafanyakazi miaka 5 walikuwa wanapewa ahadi hewa za kuongezewa mishahara halafu sasa wanawaambia kuwa wanafanya uwekezaji.
Sawa uwekezaji muhimu, mbona misafara haipungui mbona tunaendelea kukopa mbona chaguzi za kurudiwa.

Na kama raisi akiondoka hiyo miradi haijakamilika CCM watatuambia tunarudi kwenye umeme wa gesi na na kuboresha reli ya kati.

Mizunguko inachosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni haki yako kukichukia chama au mtu na uko sawa kabisa,ila in the process usishushe heshima na hadhi yako kwa kiwango hiki!Huku ni kumdhalilisha hata aliyekuumba na kukupa akili timamu!Kuwa objective na acha fitna na majungu yasiyo na maana!
haya ni maneno ya hekima nimejiuliza unamwambia nani? unamwambia mtoa mada? nimepambana kuelewa nimetoka bila bila! pliz fafanua ukipenda!! ukiadmit bias wewe ni timu ufipa nitaelewa!
 
Mleta uzi haupo kwenye list ya wateuliwa utaendelea kutumika kama toilet paper na ukizingatia una nyota ya punda utaishia kubeba mizigo ya lumumba na malipo yako hayatazidi buku 7 naona unataka utembelee nyota ya mwigulu.
 
Back
Top Bottom